kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Bangi zina umri na jinsia!View attachment 2877931
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.
Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
Ndugu katika Imaani Pakistan na Iran wanauwana huko.Wewe saa huzi nipo Ghaza, "Hot News":
Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT
Makamanda wa IDF: Haiwezekani kuwashinda Hamas na kuwaokoa mateka - NYT Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa Google. Malengo mawili ya kuwaokoa mateka na kuwaangamiza Hamas hayawezekani, Majenerali wanne waandamizi wa IDF waliliambia gazeti la New York Times katika makala iliyochapishwa...www.jamiiforums.com
View attachment 2877931
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.
Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
CCM wamechanganyikiwa, kila mmoja anaropoka la kwake hakuna kauli ya Chama.
Poleeee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Pipa na mfuniko!
Anawapa dawa gani au hilo sondo?Dawa ya CHADEMA ni makonda
Huyu pimbi naye damu za Amina Chifupa na Ipyana zinamlilia
Huyu pimbi naye damu za Amina Chifupa na Ipyana zinamlilia
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 NyumbuCCM wamechanganyikiwa, kila mmoja anaropoka la kwake hakuna kauli ya Chama.
MtaniɓbbbbbbbbɓView attachment 2877931
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.
Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
MtaniView attachment 2877931
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.
Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
Tatizo Mbowe hawezi kuiba kura. CCM ilishindwa 2015View attachment 2878049
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumbu
Kwa nini hajajiuzulu? Chawa kazini 🤣🤣Tatizo Mbowe hawezi kuiba kura. CCM ilishindwa 2015
Nilishiriki wizi wa Kura 2015 nadhiri inanisutaKwa nini hajajiuzulu? Chawa kazini 🤣🤣
Aisee ccm kazi ipo.....nini kimefanya wanapanic?CCM wamechanganyikiwa, kila mmoja anaropoka la kwake hakuna kauli ya Chama.
Eeeh makubwaHuyu pimbi naye damu za Amina Chifupa na Ipyana zinamlilia
Aiseeeeee !!Huyu pimbi naye damu za Amina Chifupa na Ipyana zinamlilia
Naamini Makonda amesikia.
Andaa haraka report ya utekelezaji wa ilani ya CCM, uipeleke CHADEMA ili ikafanyiwe assessment, maana huko ndiko kuliko na watu wenye uwezo mkubwa wa akili.
"CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga (wasio na elimu). CHADEMA inaungwa mkono na watu wasomi na makundi ya vijana" - TWAWEZA.
Aache utani ,bado uajuza wako hujanionyesha bed hivyo apuuzweWewe saa huzi nipo Ghaza, "Hot News":
Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT
Makamanda wa IDF: Haiwezekani kuwashinda Hamas na kuwaokoa mateka - NYT Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa Google. Malengo mawili ya kuwaokoa mateka na kuwaangamiza Hamas hayawezekani, Majenerali wanne waandamizi wa IDF waliliambia gazeti la New York Times katika makala iliyochapishwa...www.jamiiforums.com
Mkuu umeshawi kuona damu ya kenge?Daima kenge haamini kama ameumia hadi aone damu zinamtoka masikioni.