Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wacha kupoteza muda na huyo msaidizi wa HamzaMil 300 kutoka wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kupoteza muda na huyo msaidizi wa HamzaMil 300 kutoka wapi ?
Dunia hii hasa bongo watu wamebakia wachache sana kama wewe mkuu.Mungu ibariki CHADEMA.. Nitatoa
Majambazi haoKesho lazima niweke 20,000 kwenye hiyo account kwa ajili ya familia za hao waliobambikiwa kesi na majizi ya kura.
Ubarikuwe sana na Mungu aongezee pale utakapo punguza hilo funguKesho nitaweka kupitia wakala ,poleni Sana Wahanga.Nitaweka hapa pay inn slip
EeenHeee!Mimi sichangii chochote, ila nawasisitiza CHADEMA hebu wajiamini hizi issue za kujishusha na kuanza kuchangiana zimepitwa na wakati sana. Inaonesha jinsi msivyoweza kujiendesha. Mimi nashauri hivi vitu mwaachane navyo mfocus na agenda kubwa za kuwatoa hao watu. Chadema sio VICOBA.
Onesha kadi yako ya kualikwa vinginevyo kaa kimya.Mimi sichangii chochote, ila nawasisitiza CHADEMA hebu wajiamini hizi issue za kujishusha na kuanza kuchangiana zimepitwa na wakati sana. Inaonesha jinsi msivyoweza kujiendesha. Mimi nashauri hivi vitu mwaachane navyo mfocus na agenda kubwa za kuwatoa hao watu. Chadema sio VICOBA.
Upo sahihi mkuuKila mtu ni mhanga wa leo au kesho. Tutoe mchango wa hali na mali
Hapo nilichokosea nikipi inamaana chama hakiwezi kuchekecha akili jinsi ya kupata fedha za kujiendesha. Fanyeni vitu vya maana, bora siku moja mseme kwamba tuchangishe fedha za kusaidia watoto yatima nchini na watu wasioweza kulipa fedha za matibabu, au mseme tuwalipie watanzania bima. Hayo ndio mambo ya msingi.Onesha kadi yako ya kualikwa vinginevyo kaa kimya.
Hakuna bwana, JW nao wachachamae wawatandike makofi hawa polisiccm! Nimefurahishwa na mbinu aliyotumia Col. Doumbouya kule Guinea! Hawa wanasiasa pumbavu kabisa!Namna ya ku react na sheria sio kutumia nguvu boss
Ni jambo zuri sana mbarikiwe nilikuwa nawaza kama wao asee naumia sana sana....kwa walivyowafanyia sio utu kabisa....wametumikia nchi vitani....wamepata shida .....wanabambikia kesi kubwa hivyo....na kuwatesa na famili zao zinateseka...wekeni number za simu....turushe humoTaarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.
View attachment 1966057
Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .
KUTOA NI MOYO
hoja yako imechukuliwaErythro, fanya hivi.
1. Kuna muda maalum
2. Kuna mrejesho baada ya muda maalum?
Hii yote inaweza kuwa ni kichocheo kwa wengine zaidi kujitokeza na kuendeleza mchango.
Hata kama haya hayawezekani kwa sababu maalum, BAVICHA watumie nafasi hii ya kuwashirikisha wananchi kwa lengo/malengo mahsusi.
Wivu wa matyako wazi unatamani mshikamano huu ungekuwa lumumba.Wapigaji kazini
CHEKA LEO KESHO UTALIAWakachukue ruzuku zipo kwenye account au mbowe amezipiga tena?
USSR
Kama roho inakuuma fanya hivi,ingiza kidole kimojawapo kwenye tundu lililopo kwenye makalio yako nusa kwa dk 5,roho itatulia ccm oyeee!Wakachukue ruzuku zipo kwenye account au mbowe amezipiga tena?
USSR