Pre GE2025 CHADEMA yafanya mikutano ya hadhara 166 kanda ya Kaskazini, Wananchi waiahidi kura za Kutosha

Pre GE2025 CHADEMA yafanya mikutano ya hadhara 166 kanda ya Kaskazini, Wananchi waiahidi kura za Kutosha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa hii Nyeti imefichuliwa leo kwenye Hitimisho la Mikutano hiyo mikubwa ya kisiasa kuwahi kufanyika katika ngazi za vijiji, lililofanyika Mjini Arusha, Kata ya Murrieth, Idadi ya mikutano 166 katika kipindi kifupi namna hii, tena kwa gharama kubwa za chama cha siasa cha upinzani kwenye Nchi kama Tanzania si jambo dogo.

Hii maana yake ni kwamba afya za viongozi wa Chadema zinayo baraka za Mungu na ni Imara mno, huwezi kuwa kimeo kama kile chama kingine chenye watu wenye Visukari na Presha na ukapiga mikutano 166 non stop.

Hili ni hitimisho la Murrieth, Arusha Mjini

Screenshot_2024-07-16-23-12-46-1.png
Screenshot_2024-07-16-23-12-37-1.png
Screenshot_2024-07-16-23-12-25-1.png
Screenshot_2024-07-16-23-13-09-1.png
 
Taarifa hii Nyeti imefichuliwa leo kwenye Hitimisho la Mikutano hiyo mikubwa ya kisiasa kuwahi kufanyika katika ngazi za vijiji, lililofanyika Mjini Arusha, Idadi ya mikutano 166 katika kipindi kifupi namna hii, tena kwa chama cha siasa cha upinzani si jambo dogo.

Hii maana yake ni kwamba Chadema zinayo baraka za Mungu
Naunga mkono hoja, hili sii jambo dogo, kipimo cha baraka kisiwe ni idadi ya makundi ya watu kwenye mikutano, bali idadi ya kura za ndio kwenye sanduku la kura.

Mungu Ibariki Chadema, ili 2025 tuzishuhudie hizo baraka.

P
 
Naunga mkono hoja, hili sii jambo dogo, kipimo cha baraka kisiwe ni idadi ya makundi ya watu kwenye mikutano, bali idadi ya kura za ndio kwenye sanduku la kura.

Mungu Ibariki Chadema, ili 2025 tuzishuhudie hizo baraka.

P
Wameshasema watafanya yao harafu watakimbilia Misikitini Kuomba Mungu nisamehe
 
Taarifa hii Nyeti imefichuliwa leo kwenye Hitimisho la Mikutano hiyo mikubwa ya kisiasa kuwahi kufanyika katika ngazi za vijiji, lililofanyika Mjini Arusha, Kata ya Murrieth, Idadi ya mikutano 166 katika kipindi kifupi namna hii, tena kwa gharama kubwa za chama cha siasa cha upinzani kwenye Nchi kama Tanzania si jambo dogo.

Hii maana yake ni kwamba afya za viongozi wa Chadema zinayo baraka za Mungu na ni Imara mno, huwezi kuwa kimeo kama kile chama kingine chenye watu wenye Visukari na Presha na ukapiga mikutano 166 non stop.

Hili ni hitimisho la Murrieth, Arusha Mjini

View attachment 3044254View attachment 3044255View attachment 3044256View attachment 3044257
Asante kamanda! Maccm yanaharisha TU!
 
Hii maana yake ni kwamba afya za viongozi wa Chadema zinayo baraka za Mungu na ni Imara mno, huwezi kuwa kimeo kama kile chama kingine chenye watu wenye Visukari na Presha na ukapiga mikutano 166 non stop.
Hahahaa .....inabidi nicheke tu. Sasa hii ina uhusiano gani Mr RedBlood Cells
 
Mbowe, Lema, Mrema 🤔
Si wangefanya nyumba kwa nyumba tu huko kaskazini ; halafu hiyo pesa wakafanyia mikutano huku kusini na Katavi ambako chama hakina nguvu sana!
 
Hili ni hitimisho la Murrieth, Arusha Mjini
Mikutano hii ni jambo jema sana, na bidii inatakiwa kuongezwa kila panapowezekana, ili kil mwananchi asitoe visababu vya kutowahi kujuwa uwepo wa CHADEMA katika eneo lake.
Lakini... Inapo kuja kwenye swala la kupiga kura na kura kuhesabika katika kuwachagua viongozi wa nchi hii; hapo naona CHADEMA ni kama hamjifunzi kitu miaka yote hii mliyonyang'anywa haki zenu waziwazi kabisa.
Umemsikia Neppy akiwika huko Bukoba kuhusu hilo la "kura kuhesabika na mshindi kutangazwa"?

Yule kilaza mwingine, waziri wa mapolisi, yeye tayari anajitangazia polisi ni mali yake, na anahimiza wajumbe wa CCM mitaani kufanya uhujumu!

Haya yote ni kama huko ndani ya chama hamuyasikii, na kama mnayasikia mnayachukulia kuwa ni komedi?

Hapo nashindwa kabisa kuwaelewa CHADEMA. Sasa manguvu yote haya ya mikutano ni ya nini wakati mnajuwa kura zenu hazitawawezesha kupata ushindi?
 
Lakini ni Mr Security kaituliza Rwanda kuna Amani ya kutosha.

Nikienda Rwanda huwa napaki popote nalala bila wasiwasi.
Inategemea ameitulizaje
Kwani si hata Magufuli aliituliza Tanzania?
Aliituliza kwa ncha ya upanga na mtutu wa bunduki.
Je unakumbuka huo utulivu hapa Tanzania ulikua wa Hali Gani?
Watu walikua wakiamka asubuhi wanapigiana simu kuulizana kama wako salama na wote wapo.
Ikiwa mmoja wao hakurudi home Jana usiki watu waliamza kumtafuta polisi,mochware na sehemu nyingine.
 
Hahaha......yarateye intambwe hanyuma yakoze ibyaha vyukwica abhahutu. Ugwimo gui 'Rwanda nibyo yabhakoreye. Bharamutinya cane.....umugabho numuriro.
Hopeless!
Akili ya kipumbavu sana hii. Unatuwekea taka hapa ili iweje!
 
Back
Top Bottom