Pre GE2025 CHADEMA yafanya mikutano ya hadhara 166 kanda ya Kaskazini, Wananchi waiahidi kura za Kutosha

Pre GE2025 CHADEMA yafanya mikutano ya hadhara 166 kanda ya Kaskazini, Wananchi waiahidi kura za Kutosha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu hakuna nisichokijua Chadema, huyo Msigwa mwenyewe yuko wapi leo, unajua kwanini kakimbia? kimsingi tulimdhibiti hadi kwenye Ubunge
.
Sitegemei uone kama sisi wengine tulioko huku nje tunavyoona; ila inaumiza sana kuona mategemeo tuliyo yaweka ni kamakwenu hayana maana kubwa kwa taifa letu.
Nasubiri tu kusikia toka kwa watu wachache ndani ya chama hicho karibuni nisiokuwa na mashaka juu yao kuhusu mapambano na genge hili la 'chura kiziwi'. Hawa watakapo zungumza, tutajuwa CHADEMA ipo wapi hasa kwa sasa.
 
Thubutu....kwani kakosea nini?
Hajakosea aliyosema ndo kaz ya CCM. HAWAJIAMINI ndiyo maana wanaendesha kampeni kabla ya muda. Wakiona mambo hayaendi inafuata hatua ya pili wakishindwa inafuata hatua ya tatu. Wakimaliza wanasema Mungu tusamehe!
 
Back
Top Bottom