CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

Mkuu tunaendelea kusubiri , ni vizuri ukituonyesha na time tujipange
Vipi mkuu tangazo hili linawahusu watu wa mtaani au ni watu"fulani maalum" peke yao? Na vipi kuhusu "mlango" wa majadiliano ya kuungana, vyama vya NCCR na CUF vinaruhusiwa?
 
Inamaana hamjapanga na kumwandaa mgombea wa kumsidikiza jpm katika ushindi wake .chadema unamatatizo gani tuleteeni msindikizaji
Tangu lini CCM wakashinda chaguzi bila mbeleko, tunakoenda mbeleko zitachanika, the world is not static.
 
yaani kuna watu wanapenda kuchosha akili kama wewe dada yaani unasema CHADEMA inenda kushinda urais? upi kwanza labda wa TFF tusikubishie sana
Kuandika tu issue, JF siku hizi imezoa wengi mno.
 
CDM inaingia kwente uchaguzi wa 2020 ikiwa na mpasuko mkubwa sana miongoni mwa vigogo wake. Mwaka huu tunategemea kushuka kwa idadi ya wabunge na kushuka idadi ya kura dhidi ya mwaka 2015
 
Hawajitambui hawa, miaka yote msidai tume mnaikumbuka mwaka wa uchaguz. You are not serious... Na sasa mwaka huu mnapata anguko kuu... Chama kikuu cha upinzani NCCR Mageuzi
 
Mimi nije kwenye chama cha wazee!
Ally happy mzee.
Makonda mzee.
Jokate mzee.
Jery Slaa.
Kheri James mzee.
CCM inavijana damu changa mamilioni kwa mamilioni.
Ila sishangai Bavicha kudharau wezee kama akina Prof.Baregu na Prof.Safari
 
Ally happy mzee.
Makonda mzee.
Jokate mzee.
Jery Slaa.
Kheri James mzee.
CCM inavijana damu changa mamilioni kwa mamilioni.
Ila sishangai Bavicha kudharau wezee kama akina Prof.Baregu na Prof.Safari

Uzee sio umri peke yake, hata mitazamo pia inaweza kukufanya mzee.
 


Katibu Mkuu wa CHADEMA , John Mnyika atatoa tamko muhimu la Chama kwa umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari, leo Jumatano, Juni 3, 2020.

Je, Atamjibu Msajili wa vyama kuhusu vyama kupeleka ratiba za kampeni ilhali mikutano bado imezuiliwa na haijulikani lini itaruhusiwa.

Je, Ataijibu NEC Taifa kuja na kanuni zake mfukoni, mjawapo ikiwa mawakala kutopewa nakala ya matokeo.

STAY TUNED.

=====

"Bado kuna mwanya katika muda huu wa Bunge uliobakia, upelekwe muswada Bungeni ambao utafanya tupate Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kuhakikisha tunaitoa Ccm madarakani" Katibu Mkuu wa CHADEMA

"Tunatawaka watia nia wa CHADEMA kusoma miongozo vizuri, kuna muongozo mahsusi kabisa toka 2012, wazingatie muongozo katika hatua mbalimbali, wakikiuka Chama hakitasita kuwachukulia hatua,ili kuhakikisha tunapata viongozi walio bora katika Taifa" Katibu Mkuu Nyika.

"CHADEMA kimefungua milango 2 muhimu, kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mlango wa 1; ambao tunaufungua leo ni wa kuruhusu watia nia wa Urais kupitia Chadema na mlango wa 2; ni mlango wa majadiliano na vyama vyenye dhamira ya kweli ya kushirikiana kuitoa Ccm madarakani" Mnyika.

"Tulitaka Tume Huru ya Uchaguzi ili kuwe na uchaguzi huru na wa haki, bado tunasisitiza kwa watawala tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kwa njia nyingine kuhakikisha Ccm wanatoka madarakani, katika wakati muafaka tutawaongoza wananchi kudai haki" Mnyika.

Unapowaona watu wanajitekenya na kujichekesha wenyewe weka akili mu kichwa!
 
Napendekeza Chadema imchague Mh. Mchungaji Msigwa au Mh. Lema kama mgombea wao wa urais! Ahahahahahahah!
 
Sipati Picha siku upinzani utamteua mgombea wao kuchuana na chama cha mazoea, sipati Picha siku huyo mgombea atakaposhuka toka mawinguni na jopo la wateule kuja kusambaratisha kambi la wala rushwa, nawashauri wapinzani waje wafungue kampeni wiki mbili baada ya huyu kuanza kampeni, wamuache aropoke mauongo yake tunajua hajui kampeni za kistaarabu. Hana maono tunajua ndani ya siku ishirini ataongelea bombardier sijui SGR sijui mwendokasi, tunajua hana hoja siku sabini zilizobaki ataanza kusikiliza mgombea wa upinzani anavyotoa madini ya jinsi ya kumkwamua myonge toka kwenye umasikini ulio kubuhu, toka kwenye mateso makali na hofu ya kuuliwa na watu wasiojulikana, toka kwenye matusi na dhihaka ya kumbiwa ( sikuleta tetemeko, sikuleta njaa)
Sipati Picha ndani ya siku sabini atakua na maneno ya (anaetupinga weka ndani hau jeshi mnajua msaliti wetu cha kumfanya).
sipati Picha wananchi watakaposema umekuja mkombozi, tumekusubiri kwa hamu, sasa tupeleke katika nchi ya ahadi tuvushe tutoke kwenye makucha ya mkoloni mweusi tuingie katika nchi yenye demokrasia iliyotukuka nchi ambayo raslimali zake zitagawanywa na kila moja atafaidi matunda ya kuishi ndani yake, na kila moja atasema wewe ndiye mkombozi wa kweli. KARIBU Ndugu Antipas.
 
Uzee sio umri peke yake, hata mitazamo pia inaweza kukufanya mzee.
Kwa mfano Jakate Mwegelo aliwazaa, akaona afanye arambee ya kujenga shule wilaya yake ya kisarawe na kweli akajenga.
Kwahiyo wazo kama hili ni la kizee?
Bavicha mpimwe akili
 
Back
Top Bottom