CHADEMA yafunika Mabaraza ya Tume, CCM, maelfu wajitokeza kujadili, kutoa maoni

CHADEMA yafunika Mabaraza ya Tume, CCM, maelfu wajitokeza kujadili, kutoa maoni

Ya Nepi yaliiishia hapo...hayakuvuka hata maji....bora Warioba na watu wake wapo kidg kdg. CCM walituma watu wao wakakutana na moto wa CHADEMA. Watu wamekula somo la uraia mfululizo kwa miaka kadhaa sasa. Agenda haikuwa yao. Mapendekezo ya Rasimu ambayo yanatokana na maoni ya watu, karibu yote CCM hawayataki.

Unajua CHADEMA wanavyocheza karata yao?

ama kwenye chadema ni vitendo tu.
 
Hii kitu ngumu kumeza kwa MaCCM, sasa hivi utasikia Msajili wa Vyama amepiga marufuku mabaraza ya Katiba ya Vyama. Chezea wogo wa CCM...

CHADEMA na wananchi, CCM na Mafisadi.
 
Mimi nipo Arusha, nilifurahi sana jana kushiriki katika kutoa maoni ya katiba mpya. Pia nilipata elimu kuhusu rasimu ya katiba kupitia wakili maarufu mh. Marandu kweli chadema wamejipanga kutetea wananchi. Peopleeeeees!
 
Kama kweli Tanzania ni ya watanzania wote bila kujali itikadi zetu,rangi zetu,ubini wetu,bs ccm ipeni chadema nchi walau kwa miaka 5.

Chadema sio kikundi bali ni taasisi kubwa inayoweza ongoza nchi bila msaada toka ccm.

Chadema sio wadini bali ndani ya chadema kuna wakrsto na waislm na wapagani.

Chadema sio magaidi bali ndani yake kuna watetezi wa haki za binadamu na masilahi ya Taifa.

Mahakama imedhibitisha kuwa cdm sio magaidi ila mwigulu hataki.

Uhuru wa nchi uliletwa na babu zetu,baba zetu,babu zao,mama zetu,bibi zetu sasa iwaje leo siso watoto tupiganie ikulu?

Leo ww umezaliwa ccm,imekulia ccm,umesomea ccm,umeajiriwa na ccm,kwa nini wenzako nao wasizaliwe cdm na kukulia cdm na kusomea cdm na hata kufanya kazi cdm? Wivu wa nini bandugu?

Haya saaa uneni aibu hii,leo chama cha mapinduzi kinafanya mkutano wa maoni ya katiba ndani ya ukumbi wakati chadema wanafanya uwanjani kweeeeeupe.

Iko wapi alama ya jembe na nyundo?

Tutakufa wangapi ili kurudiaha heshima ya chama cha mapinduzi?

Kwani mkiachi nchi na kijipanga upya na kuangalia mapungufu ya hao mtakao wapa nchi,hamuwe shinda uchaguzi tena? Kihoro cha nini sasa? Mnahofia kupokwa nyumba za serikali na viwanja vya wazi?(tunavyolaza vimeo vyetu) au hatamu za diplomatic passport?.

Yote haya yamenitoka baada ya kuona mwitikio wa wananchi katika sehemu mbali mbali inakopita chadema kukusanya maoni ya katiba mpya pamoja na hayo mabomu ya kichina yanayowalipukia stil wanapata support ya kutisha, kwa mtizamo wa haraka kama ww raia wa kawaida unapata picha gani?
 
Wananchi wanaelewa form IV wa chadema ni ya zaidi professor wa CCM, wanajongea kuliko na mijadala yenye akili.


Ndio maana kwenye uchaguzi wa 2010 mlituletea makamu wa rais wa darasa la 7? . Kweli mliwadharau watanzania
 
Wakati CCM, wakiendelea kuhangaika na kutetea ufisadi huko Bukoba na kuogopa kuwatimua madiwani wao, wakihofia kipigo cha 8-0, CHADEMA imezidi kusonga mbele ikiendesha Mabaraza Huru ya kujadili Rasimu ya Katiba Mpya.

Maelfu wanazidi kujazana kushiriki mijadala na kutoa maoni yao kwenye mabaraza ya CHADEMA.

Wengine tusisahau kuwa kuna thread hapa iko kwenye sticky, ambayo inaonesha namba ya simu,email na jinsi ya kujaza fomu kwa sisi members wa GT. Tutumieni fursa hiyo.

Cheki nyomi za watu.


​Bunge la katiba ndio mambo yote, kwani hakita pita kitu ambacho kina mikono ya wana siasa . Mwaweza fanya mikutano mingi, kwenye Bunge la katiba mkapigwa bao la kisigino, chezesheni karata zenu vizuri.
 
attachment.php
 
attachment.php

Eti wanasema tufanye mikutano ya ndani sasa ukumbi gani una weza kuingiza watu wote hawa...R.I.P CCM
 
​Bunge la katiba ndio mambo yote, kwani hakita pita kitu ambacho kina mikono ya wana siasa . Mwaweza fanya mikutano mingi, kwenye Bunge la katiba mkapigwa bao la kisigino, chezesheni karata zenu vizuri.
Mkichakachua tu tunaingia barabrani....
 
If you desire to help thy friend,
do so in a way that will not bring thy friend's burdens
upon thyself."
 
Sasa hapa ni maoni ya wananchi.au maoni ya viongozi wa cdm.
 
Mkichakachua tu tunaingia barabrani....

Huyo jamaa ni mjinga kweli kweli!
Hilo ni Bunge la "KATIBA" ya BUNGE la katiba au Bunge la KATIBA ya watanzania?!
Ukiona mjinga anajifariji hivyo, ujue CCM maji ya shingo....
Wananchi hawataki kusikia suala la seriakali mbili...
Wanataka tatu!
Tehe!
 
Nashauri CDM iwe inapandisha na Bendera ya Taifa kwenye Mikutano yao.Hii itazidi kuipatia Maksi zaidi.

Ni ushauri mzuri kama haujautoa ukiwa na kejeli!
Kwa hatua iliyofikiwa, CHADEMA wana uhakika wa kujaza watu kwa mkutano uliotangazwa ndani ya masaa machache kuliko CCM kujaza watu kwenye mkutano uliotangazwa wiki mbili!
 
Back
Top Bottom