Kama CDM imekufa TLP na vingine kama hicho itasemwajeUmeongea kwa usahihi kabisa, kuondoka kwa Dr. Slaa na kushikiriwa bila kosa kwa Mbowe kumeifanya CHADEMA ife. Huu ndio ukweli mchungu. CHADEMA imebaki ya kimtandaoni kwa Lissu , Lema, MMM na Maria Sarungi. Hawa wote wananufaika
Hiki kipindi kiko huru kwa watanzania wote, vyama vyote, dini zote na hata wasio na dini.kipindi cha MARIA SPACE.
Chama ndio watu wenyewe.Ok, KUNGURU AKIMBIZA BAWA LAKE, Duh nilidhani wakimbizi wa kisiasa ni watu lakini hata Vyama
Hapa ndio mnafeli, kutembea na vivuli vya marehemu. Mnafeli sana.Aisee, wewe hujui sababu ya haya yote.
Chanzo ni Dikteta Uchwara Magufuli na mama anatembea kwenye nyayo za Mwendazake.
Na wewe pia badala ya kuthbitisha madai yako unataka kutuaminisha kuwa mawazo/fikira zako kuhusu Chadema ndiyo sahihi! Mimi nasubiri huo uthibitisho wako, otherwise you are committing a fallacy of 'argumentum ad populum' (an appeal to people to agree with you without justification).Ninapenda kwanza kutoa heshima zangu kwa Mheshimiwa Mbowe, aliyekuwa kizuizini, kwa kuonewa na bila kupewa haki yake kama sheria inavyosema.
Nikirudia mada yangu, hivi karibuni tumeona kuwa shughuli zote za hiki chama kikubwa cha upinzani zikihamishwa, kutoka mikoni mwa Ofisi zake za kisheria na mikononi mwa Viongozi wake, na kuhamishiwa kwa wale viongozi waliokimbia nchi kwa usalama wao, na pia kuweka makao makuu ya chama mitandaoni haswa kwenye kipindi cha MARIA SPACE.
Hili jambo linazungumzwa sana na limewabughudhi sana wengi wetu, kwani Chadema ni mali ya watanzania na kina manufaa kwa waliomo na wasiokuwemo, inaumiza kuona Chama kimetekwa Nyara.
Inashangaza sana kuona wale wazee muhimu na wenye busara wa CHADEMA, wamekaa kimya huku wakiona Chama kikiyumbayumba.
Usikonde bure. Sababu ni Chui Jike anatembea kwenye nyayo za Mwendazake.....!!Chama cha kipuuzi sana hiki wanashikiwa akili na Lema na Lissu wanajazana upepo tu huko Space
Tena naona unajiita PHD?Kama ACT inakuja kwa Kasi tatizo linakuwa wapi mbona vijana wa UVCCm mna Kama laana ivi yaani ata ushawishi kwa watu wa kawaida hamuwezi Sasa kwa taarifa ccm imekufa ili ujue imekufa nyie Uvccm daini Katiba mpya mkiweza kudai ntajua kweli cdm imekufaACT inakuja kwa kasi na mipango thabiti. Wao wamebaki space za Maria kila siku. Hivi mwananchi wa kawaida wa Tandahimba asiyekuwa na pesa ya kula hayo mambo ya space anayajulia wapi? ACT wao wanaenda vijijini wanaibua changamoto za wananchi na kuzipazia sauti.
Kwahiyo Chadema iliyolazimishwa kuhamia mahakamani wewe hauitambui!Ninapenda kwanza kutoa heshima zangu kwa Mheshimiwa Mbowe, aliyekuwa kizuizini, kwa kuonewa na bila kupewa haki yake kama sheria inavyosema.
Nikirudia mada yangu, hivi karibuni tumeona kuwa shughuli zote za hiki chama kikubwa cha upinzani zikihamishwa, kutoka mikoni mwa Ofisi zake za kisheria na mikononi mwa Viongozi wake, na kuhamishiwa kwa wale viongozi waliokimbia nchi kwa usalama wao, na pia kuweka makao makuu ya chama mitandaoni haswa kwenye kipindi cha MARIA SPACE.
Hili jambo linazungumzwa sana na limewabughudhi sana wengi wetu, kwani Chadema ni mali ya watanzania na kina manufaa kwa waliomo na wasiokuwemo, inaumiza kuona Chama kimetekwa Nyara.
Inashangaza sana kuona wale wazee muhimu na wenye busara wa CHADEMA, wamekaa kimya huku wakiona Chama kikiyumbayumba.
Very very true, I wonder kama kuna conspiracy hapa, maana this is unlike ChademaKwenye hili la website, nahisi ni ukata tuu, lakini Chadema ikitangaza inatafuta web admin wa kujitolea, naamini kuna vijana hundreds wenye mapenzi ya dhati na Chadema, watakuwa more than willing kujitolea kui run website ya Chadema free of charge!.
Na hapa sasa ndio unaona pengo la wazi la Chadema kutokuwa na Afisa Habari!.
cc. Makene
P
Apana hata kidogo, Hakiko kwa wote, wanaopewa muda ni watu wachache sana, na zaidi kinamilikiwa na Viongozi wa DIASPORA na wafuasi wao ( CHADEMA DIASPORA/REFUGEES )Hiki kipindi kiko huru kwa watanzania wote, vyama vyote, dini zote na hata wasio na dini.
Ni swala la muda wako kujiunga na kushiriki mjadala wa mada husika kwa siku husika.
Wewe ni miongoni mwa waliosisitiza kwamba Chadema imekufa , leo imekuwaje chama kikuu cha upinzani ?Ninapenda kwanza kutoa heshima zangu kwa Mheshimiwa Mbowe, aliyekuwa kizuizini, kwa kuonewa na bila kupewa haki yake kama sheria inavyosema.
Nikirudia mada yangu, hivi karibuni tumeona kuwa shughuli zote za hiki chama kikubwa cha upinzani zikihamishwa, kutoka mikoni mwa Ofisi zake za kisheria na mikononi mwa Viongozi wake, na kuhamishiwa kwa wale viongozi waliokimbia nchi kwa usalama wao, na pia kuweka makao makuu ya chama mitandaoni haswa kwenye kipindi cha MARIA SPACE.
Hili jambo linazungumzwa sana na limewabughudhi sana wengi wetu, kwani Chadema ni mali ya watanzania na kina manufaa kwa waliomo na wasiokuwemo, inaumiza kuona Chama kimetekwa Nyara.
Inashangaza sana kuona wale wazee muhimu na wenye busara wa CHADEMA, wamekaa kimya huku wakiona Chama kikiyumbayumba.
Hahahaaaa ndugu shituka mapemahicho siyo cham cha wananchi ni saccos ya mtu nduguyangu analoamua ndilo linafanywa ni matapeli wa siasa tu hao lawama kila sikuNinapenda kwanza kutoa heshima zangu kwa Mheshimiwa Mbowe, aliyekuwa kizuizini, kwa kuonewa na bila kupewa haki yake kama sheria inavyosema.
Nikirudia mada yangu, hivi karibuni tumeona kuwa shughuli zote za hiki chama kikubwa cha upinzani zikihamishwa, kutoka mikoni mwa Ofisi zake za kisheria na mikononi mwa Viongozi wake, na kuhamishiwa kwa wale viongozi waliokimbia nchi kwa usalama wao, na pia kuweka makao makuu ya chama mitandaoni haswa kwenye kipindi cha MARIA SPACE.
Hili jambo linazungumzwa sana na limewabughudhi sana wengi wetu, kwani Chadema ni mali ya watanzania na kina manufaa kwa waliomo na wasiokuwemo, inaumiza kuona Chama kimetekwa Nyara.
Inashangaza sana kuona wale wazee muhimu na wenye busara wa CHADEMA, wamekaa kimya huku wakiona Chama kikiyumbayumba.
Hahaaa saccoss imetekwaWewe ni miongoni mwa waliosisitiza kwamba Chadema imekufa , leo imekuwaje chama kikuu cha upinzani ?
Shujaa Jiwe mzalendo hakukimaliza hiki chama kwani ?
Elvis Hiyo ndiyo ile Chadema Asilia, lakini sasa tunaona ile ya wakimbizi ikipeperusha bendera ughaibuniKwahiyo Chadema iliyolazimishwa kuhamia mahakamani wewe hauitambui!
Sasa kama waziri wa mambo ya ndani anaapa kuwa vyama visiruhusiwe kufanya siasa. UnawalaumuJe Cdm ?!Ninapenda kwanza kutoa heshima zangu kwa Mheshimiwa Mbowe, aliyekuwa kizuizini, kwa kuonewa na bila kupewa haki yake kama sheria inavyosema.
Nikirudia mada yangu, hivi karibuni tumeona kuwa shughuli zote za hiki chama kikubwa cha upinzani zikihamishwa, kutoka mikoni mwa Ofisi zake za kisheria na mikononi mwa Viongozi wake, na kuhamishiwa kwa wale viongozi waliokimbia nchi kwa usalama wao, na pia kuweka makao makuu ya chama mitandaoni haswa kwenye kipindi cha MARIA SPACE.
Hili jambo linazungumzwa sana na limewabughudhi sana wengi wetu, kwani Chadema ni mali ya watanzania na kina manufaa kwa waliomo na wasiokuwemo, inaumiza kuona Chama kimetekwa Nyara.
Inashangaza sana kuona wale wazee muhimu na wenye busara wa CHADEMA, wamekaa kimya huku wakiona Chama kikiyumbayumba.
JIFANYA ZOMBI TU.. umesahau ANC walitafuta uhuru wa nchi yao wakiwa nnje ya nchi yao na wengi walikuwa hapahapa TZ tukiwasadia kujitoa kwenye makucha ya wakoloni hivo acha kujizombika acha akili za LUMUMBA zisikutawale ubongo wakoNinapenda kwanza kutoa heshima zangu kwa Mheshimiwa Mbowe, aliyekuwa kizuizini, kwa kuonewa na bila kupewa haki yake kama sheria inavyosema.
Nikirudia mada yangu, hivi karibuni tumeona kuwa shughuli zote za hiki chama kikubwa cha upinzani zikihamishwa, kutoka mikoni mwa Ofisi zake za kisheria na mikononi mwa Viongozi wake, na kuhamishiwa kwa wale viongozi waliokimbia nchi kwa usalama wao, na pia kuweka makao makuu ya chama mitandaoni haswa kwenye kipindi cha MARIA SPACE.
Hili jambo linazungumzwa sana na limewabughudhi sana wengi wetu, kwani Chadema ni mali ya watanzania na kina manufaa kwa waliomo na wasiokuwemo, inaumiza kuona Chama kimetekwa Nyara.
Inashangaza sana kuona wale wazee muhimu na wenye busara wa CHADEMA, wamekaa kimya huku wakiona Chama kikiyumbayumba.
Ndugu Siasa ni akili, hebu rudia ulichoandika. ANC walikuwa hawaruhusiwi hata kuwa wanachama wa chama cha kisiasa, Chadema kina Maofisi yake viongozi wake kila mkoa, Iko tofauti kubwa sana kati ya CDM na ANC. Hata wewe ni mwanaCDM lakini hakuna anyekukatalia kushabikia chama chako.JIFANYA ZOMBI TU.. umesahau ANC walitafuta uhuru wa nchi yao wakiwa nnje ya nchi yao na wengi walikuwa hapahapa TZ tukiwasadia kujitoa kwenye makucha ya wakoloni hivo acha kujizombika acha akili za LUMUMBA zisikutawale ubongo wako