Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Mumlaumu tundulisu aliyejiunga freemasonCCM ni mataahira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mumlaumu tundulisu aliyejiunga freemasonCCM ni mataahira
Hawakufa ktk kutimiza haki walikufa ktk harakat za kutimiza matakwa ya kisheria,Poleni kwa familia.
Hongera kwa waliofariki katika haki naamini saivi mpo paradise mnakula zenu mema ya Kristo
Wewe unamuona yuko sawa!! Gonjwa la mda mrefu hilo
Kilichosemwa kimeeleweka......isipokuwa sie wengine hatuamini kama ni yeye kasema watakuwa 'wanamsingizia' sababu accident ni accident tu, mbona wengine wamefika salama? Kama kweli kasema basi kuna shida......!Ninasikitika kwa walioshindwa kumuelewa Mnyika kwamba ajali isingetokea kama wangeapishiwa kwenye kituo kilichotajwa kabla. Maana kitendo cha kubadilishiwa route na kuwahi ili kukidhi matakwa ndo kimesababisha hayo yaliyotokea.
Huwenda wewe ukawa na upeo finyu nduguSikubali! Katibu Mkuu Kabisa wa Chama ndo kayasema hayo? Yaani ajali hiyo wa kulaumiwa ni Tume...!! Katibu wangu hawezi kuwa na upeo finyu namna hii!
Duuuu
Mnyika ukiwa unataka kuongea na Taifa hakikisha umemeza dawa zako na umepata mda wa kupumzika vinginevyo unajidhalilisha na unakidhalilisha chama. Tume imesababisha ajali!
wewe umemeza dawa kabla ya kujibu?mbona wewe unaonekana mgonjwa?Duuuu
Mnyika ukiwa unataka kuongea na Taifa hakikisha umemeza dawa zako na umepata mda wa kupumzika vinginevyo unajidhalilisha na unakidhalilisha chama. Tume imesababisha ajali!
Tundu Lissu atoa tamko: Figisu za uchaguzi zimeanza, Mawakala wa CHADEMA wakataliwa kuapishwa 21/10/2020
Tundu Lissu afafanua lazima wasimamizi wa uchaguzi wazingatie Kifungu cha 7.4 Kanuni kuhusu mawakala wa wagombea wa vyama baada ya kujaza fomu namba 6 zinasema ngazi ya Kata inaweza kufanya zoezi la kuapisha na siyo lazima ifanyike ktk ngazi ya mkurugenzi
Amia fisiume mana wao ndiyo wana akili kama weweSikubali! Katibu Mkuu Kabisa wa Chama ndo kayasema hayo? Yaani ajali hiyo wa kulaumiwa ni Tume...!! Katibu wangu hawezi kuwa na upeo finyu namna hii!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuu
Mnyika ukiwa unataka kuongea na Taifa hakikisha umemeza dawa zako na umepata mda wa kupumzika vinginevyo unajidhalilisha na unakidhalilisha chama. Tume imesababisha ajali!
DuhCCM ni mataahira
Una maana kama wewe ulivyompa Jiwe au una maana gani?Ukishampata mtu wa kumbebesha lawama hata kwa ujinga wako mwenyewe uwezo wako wa kufikiri unakuwa kwenye autopilot mode.
Mkuu kwani una tatizo gani? Yaani wewe umeelewa hivyo? Kweli sasa naamini ukiwa ccm unatolewa akili, nilijua ni uzushi ila sasa nimeaminiHIVI NI KWELI NEC NDO WALIKUWA MADEREVA HAPO? Huyu Mnyika aache kutudhalilisha....!!
Mgombea wenu haendi sehemu ambayo haina internet...maana moyo wake unakuwa oparated from outside....mkumbushe abebe feniDuuuu
Mnyika ukiwa unataka kuongea na Taifa hakikisha umemeza dawa zako na umepata mda wa kupumzika vinginevyo unajidhalilisha na unakidhalilisha chama. Tume imesababisha ajali!
Lakini Katibu analaumu pia na miundombinu ya barabara kuwa mibovu. Asisahau pia kwamba Chadema hatuhitaji maendeleo ya vitu tunataka maendeleo ya watu.Sikubali! Katibu Mkuu Kabisa wa Chama ndo kayasema hayo? Yaani ajali hiyo wa kulaumiwa ni Tume...!! Katibu wangu hawezi kuwa na upeo finyu namna hii!