Sheria ya uchaguzi inasema mawakala wanaweza kuapishwa na watendaji wa vijiji na ndio hufanyika hivyo chaguzi zote kama NEC isingetangaza mawakala kwenda kuapishwa na wakurugezi hao mawakala wangepata ajali?Kweli chadema ni vilaza na mbumbumbu, ajali ya gari unailaumu tume ya uchaguzi!!! Kweli abongo wa viongozi wa saccos wanajua wenyewe unakaa wapi ila si kichwani, maybe ipo kwenye kiungo pendwa, sio kwa comedy hii [emoji16][emoji23][emoji848]
Hapo ndipo wengi wanao comment hapa, wameshindwa kuielewa hiyo Logic. Katika maisha mambo mengi yanatokea, lakini kuna sababu zinazosababisha kutokea. Thinking logically helps one to understand the reasons behind.Ninasikitika kwa walioshindwa kumuelewa Mnyika kwamba ajali isingetokea kama wangeapishiwa kwenye kituo kilichotajwa kabla. Maana kitendo cha kubadilishiwa route na kuwahi ili kukidhi matakwa ndo kimesababisha hayo yaliyotokea.
Sheria ya uchaguzi inasema mawakala wanaweza kuapishwa na watendaji wa vijiji na ndio hufanyika hivyo chaguzi zote kama NEC isingetangaza mawakala kwenda kuapishwa na wakurugezi hao mawakala wangepata ajali?
Sio mbaya,kwakua bado sijaufikia wako wenye manii.Ubongo wako una kamasi
Sio mbaya,kwakua bado sijaufikia wako wenye manii.
Bastardfoolish
Bastard
NEC ya hovyo kabisaKatibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amewalaumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa vifo vya mawakala watano wa chadema katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo – Sumbawanga
Mnyika amesema mawakala hao wamefariki walipokuwa wanawahi ofisi za Mkurugenzi kuapishwa kutokana na utaratibu kubadilika na kuwataka mawakala wote waapishwe ofisi za halmashauri
Mnyika amesema maeneo mengine nchini hayana jiographia nzuri hivyo kuna kata ambazo hutumia muda mwingi kufika halmashauri
Aidha amesema CHADEMA wako pamoja na wanafamilia waliofiwa lakini shughuli za kuhakikisha mawakala wanaapishwa zinaendelea
Mawakala waliofariki awali walikuwa wanne, na watatu walikuwa mahututi, na mmoja kati ya kmahututi amefariki hivyo amefanya idadi ya waliofariki imefikia tano