CHADEMA yaingia NMB, Ni rahisi sana kuchangia, fanya hivi na Mungu atakubariki sana

CHADEMA yaingia NMB, Ni rahisi sana kuchangia, fanya hivi na Mungu atakubariki sana

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.

Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa

Screenshot_2025-02-24-16-36-02-1.png


Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
 
Vyama vyote duniani vinachangiwa na Wanachama na serikalii ukagua vyanzo vyake vya mapato pamoja na ruzuku. Tofauti na CCM wanaibia wananchi na kuwadhulum, mfano wamepora viwanja vyote vya michezo na kufanya mali zao wakati ni mali ya umma. Wakadhulum kituo cha habari Channel Ten wakasema chao. CHADEMA WAPO SAWA.
 
Vyama vyote duniani vinachangiwa na Wanachama na serikalii ukagua vyanzo vyake vya mapato pamoja na ruzuku. Tofauti na CCM wanaibia wananchi na kuwadhulum, mfano wamepora viwanja vyote vya michezo na kufanya mali zao wakati ni mali ya umma. Wakadhulum kituo cha habari Channel Ten wakasema chao. CHADEMA WAPO SAWA.
Asipoelewa hapa basi atakuwa hana ubongo
 
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.

Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa

View attachment 3247992

Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
Dadeki nitachanga mpaka machawa wa ccm wafe midomo wazi
 
kiujumla wote ni wapigaji...sisi emu chaha dehema wote wapigaji, kahera kangu nitaenda kumpa masikini mwenzangu wao wapambane wenyewe huko juu,,,,
 
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.

Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa

View attachment 3247992

Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
Fanyeni kazi acheni utapeli
 
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.

Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa

View attachment 3247992

Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
Tulijua kikoba kiliondoka na Mbowe kumbe bado mwendo ni wa tonya mwisho wa siku zikiliwa sio mimi muulize aliyeanzisha!
 
Hii nchi utapeli ni mwingi.

Hapa sakata la LBL halijaisha, na sasa CHADEMA
 
Vyama vyote duniani vinachangiwa na Wanachama na serikalii ukagua vyanzo vyake vya mapato pamoja na ruzuku. Tofauti na CCM wanaibia wananchi na kuwadhulum, mfano wamepora viwanja vyote vya michezo na kufanya mali zao wakati ni mali ya umma. Wakadhulum kituo cha habari Channel Ten wakasema chao. CHADEMA WAPO SAWA.
Kuchangia chama cha upinzani siyo shida tatizo ni kwamba vyama vyote Tz na hasa cdm ni mamluki wa ccm na familia zao ndiyo maana hakuna mtoto wa viongozi wa vyama vya upinzani anasoma shule za kayumba,kama wanataka kutukomboa waanze na kujishusha kimaisha tuwe sawa siyo kulala na kumiliki mahotel na majumba ya kifahari huku tunaochanga tunalala kwenye matembele.
Chama cha kweli cha upinzani kinaweza kutokana na vuguvugu la Walimu Wasiyo na Ajira walioibuka kwa sasa.
 
Back
Top Bottom