CHADEMA yaingia NMB, Ni rahisi sana kuchangia, fanya hivi na Mungu atakubariki sana

CHADEMA yaingia NMB, Ni rahisi sana kuchangia, fanya hivi na Mungu atakubariki sana

Ukifa ujue Mungu ndio ameruhusu, Mungu asiporuhusu hata huyo shetani na hao mawakala wake hawawezi kukuua
 
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.

Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa

View attachment 3247992

Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
Ukifa ujue Mungu ndio ameruhusu, Mungu asiporuhusu hata huyo shetani na hao mawakala wake hawawezi kukuua
 
Kwahiyo hela yangu iliyopitiwa na kikokotoo nitoe niwachangie tena na nyie?
 
NAWAASA WATANZANIA WASICHANGIE HATA MIA ZAO, KWANZA WAHOJI MATUMIZI YA MICHANGO YA AWALI, CDM NI TAASISI, NA TAASISI HUWA NA MUHASIBU, BASI NI HEKIMA TUKAPATA TAARIFA ZA MAPATO NA MATUMIZI YA TAASISI HIYO, FEDHA ZETU ZINA THAMANI KUBWA SANA
 
NAWAASA WATANZANIA WASICHANGIE HATA MIA ZAO, KWANZA WAHOJI MATUMIZI YA MICHANGO YA AWALI, CDM NI TAASISI, NA TAASISI HUWA NA MUHASIBU, BASI NI HEKIMA TUKAPATA TAARIFA ZA MAPATO NA MATUMIZI YA TAASISI HIYO, FEDHA ZETU ZINA THAMANI KUBWA SANA
Ulihudhuria Vikao vya Chadema, maana kila kitu kimewekwa wazi kuhusu hilo
 
nadhani, yatupasa kuchangia. umoja ni nguvu, tusipoiunga mkono chadema hakuna hama kingine nchini cha kuwasemea wananchi, vingine vyote vipo mfukoni na vinapokea perdiem.
 
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.

Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa

View attachment 3247992

Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
Ahahahahaha! Hata hicho kikokotoo mnachokililia kiliwekwa na Serikali ya CCM. Hapo ndio utajua CCM ni baba lao!
 
Sijaelewa mantiki.....kwamba wanataka kwa ajili ya nauli au facilitation ta vikao au nini?
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.

Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa

View attachment 3247992

Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
 
Back
Top Bottom