Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
Ukifa ujue Mungu ndio ameruhusu, Mungu asiporuhusu hata huyo shetani na hao mawakala wake hawawezi kukuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifa ujue Mungu ndio ameruhusu, Mungu asiporuhusu hata huyo shetani na hao mawakala wake hawawezi kukuuaEwe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.
Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa
View attachment 3247992
Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
Chadema hawaitaji masikini kama wewekiujumla wote ni wapigaji...sisi emu chaha dehema wote wapigaji, kahera kangu nitaenda kumpa masikini mwenzangu wao wapambane wenyewe huko juu,,,,
Hujalazimishwa mkuu.kiujumla wote ni wapigaji...sisi emu chaha dehema wote wapigaji, kahera kangu nitaenda kumpa masikini mwenzangu wao wapambane wenyewe huko juu,,,,
Ulihudhuria Vikao vya Chadema, maana kila kitu kimewekwa wazi kuhusu hiloNAWAASA WATANZANIA WASICHANGIE HATA MIA ZAO, KWANZA WAHOJI MATUMIZI YA MICHANGO YA AWALI, CDM NI TAASISI, NA TAASISI HUWA NA MUHASIBU, BASI NI HEKIMA TUKAPATA TAARIFA ZA MAPATO NA MATUMIZI YA TAASISI HIYO, FEDHA ZETU ZINA THAMANI KUBWA SANA
Karibu sanaTulijua kikoba kiliondoka na Mbowe kumbe bado mwendo ni wa tonya mwisho wa siku zikiliwa sio mimi muulize aliyeanzisha!
Ahahahahaha! Hata hicho kikokotoo mnachokililia kiliwekwa na Serikali ya CCM. Hapo ndio utajua CCM ni baba lao!Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.
Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa
View attachment 3247992
Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
🤣🤣🤣Dadeki nitachanga mpaka machawa wa ccm wafe midomo wazi
Kuua wastaafu ndio ubaba huo?Ahahahahaha! Hata hicho kikokotoo mnachokililia kiliwekwa na Serikali ya CCM. Hapo ndio utajua CCM ni baba lao!
Hujui kitu, Shut up!Za join ze chain mlitafuna mnatuletea mtego mwingine?
Acha uchulo.Kikapu
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu.
Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa
View attachment 3247992
Changia Mabadiliko ili kuondoa Vifo vya ghafla, Hakuna kifo ambacho ni Mpango wa Mungu vyote huletwa na Shetani na Mawakala wake
Kuwezesha shughuli za chama kwenye kila jamboSijaelewa mantiki.....kwamba wanataka kwa ajili ya nauli au facilitation ta vikao au nini?
UsiogopeKwahiyo hela yangu iliyopitiwa na kikokotoo nitoe niwachangie tena na nyie?