The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Achana nae..kuna mdudu anampekecha akili yakeSijaona mahali chadema wameombea tanzania ifungwe. Mbowe alikuwepo uwanjani.. james mbatia alikuwepo uwanjani.. na viongoz wengine wote walikuwa waki support stars maana walikuja wamevaa jezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
CDM kama chama nafurahi kikipongeza, na mimi nakipongeza kwa uzalendo huo, tatizo lipo kwa nyie wafuasi wa mitandaoni. Zile nyuzi za kuitakia mabaya Taifa Stars mmetoa likes za kutosha na ku comment mabaya na wewe ukiwemo, na huu Uzi wako wa kupongeza umepata LIKES za wafuasi, wengi wao wakiwa walewale mliotoa likes kwenye kuiombea mabaya kisa mratibu mkuu Makonda, huu kama sio UNAFIKI ni Nini??!?..
Mkuu umeongea mengi ya msingi Ila nikukosoe sehemu moja tu, hili taifa halijajigawa. Kama ilivyo mitazamo ya mambo mengine mitandaoni na hili lipo hivyo. Mfano mwaka 2016,2017 nilikuwa nje ya nchi kwa muda wa miezi mingi nilikuwa nikipitia humu naogopa, nilihisi Tanzania watu hawana hata 200 ya kunywa chai asubuhi kwa namna uchumi ulivyokuwa unaongelewa humu. Kila thread ni uchumi unayumba, uchumi unayumba.Wengine njaa,njaa mpaka Lissu naye kuingiza siasa kwenye njaa.Niliporudi nikashangaa mambo tofauti kabisa, mtaani ni picha tofauti na ya humu JF. Hivyo hivyo swala unalolisema la kuligawa Taifa, kwa mtu asiyekuwa nchini angepitia Jamii Forums akaona thread zenu za kuiombea mabaya Taifa Stars na LIKES kibao angesikitika Sana akihisi watanzania wamefikia hapa?, kumbe ni wanafiki wachache tu wa mitandaoni.Nimeenda Taifa huo umati wa watu na foleni za magari, uswahilini ndo usiseme na wachache waliotaka timu ifungwe ni sababu za kubet(Mikeka), wenyewe wanasema nimeiua Taifa Stars point zilikuwa nyingi, wala hawana time na siasa zenu. Nimegundua ndo maana mmejazana humu kudanganyana eti watu wanamchukia JPM na serikali hii, mwakani mtashangazwa Sana msipobadilika. Watu sio wajinga kuzungusha tena mikono.Unachekesha Ile mbaya, watu wanapenda soka sio kwa itikadi zao bali watu walikereka na kitendo cha wanasiasa wa siasa majitaka kuweka kimbelembele kutaka sifa wasizostahili. Soka letu linachangamoto kibao, huko ndio nguvu za viongozi zilipaswa kuanza kuonekana, sio wasubiri dakika za mwisho kuja kutaka point za mezani pindi wanapoona mafanikio yamekaribia.
Hiyo taifa star iliyoshinda na hata ingeshindwa wapenda mpira wataendelea kupenda na wale wasiopenda watachukulia poa, ila walio wengi walitaka kuonyesha wanasiasa wanaoligawa taifa kuacha kimbelembele kwani hawana ridhaa ya umma. Hata kama taifa stars imeshinda bado ujumbe umefika kwa huyo aliyekuwa anazodolewa. Ukweli ni kuwa mchango wa serikali ni mdogo kwenye michezo, hiyo kujiweka mbele mbele sasa ni kusaka sifa wasizostahili.
Rubbish jayeedMkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
The silliest man at workMkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilitaka tufungwe, ila ndo hivyo imekuwa tofauti,CHADEMA acheni unafiki, nyie si ndio mliokuwa mnaiombea Taifa Stars ifungwe na kumbeza Makonda Kuhamasisha Watu Waende Uwanjan? Mashetani Wakubwa Nyie
Hivi kesi mliyomfungulia Karia imeishia wapi?mlifanya ushirikina timu ishindwe ila sasa mmeumbuka.View attachment 1053298
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) katika taarifa yake iliyosainiwa na Mkuu wa kitengo chake cha habari , Tumaini Makene , imeipongeza Timu ya Taifa kwa Ushindi mnono dhidi ya Uganda na hivyo kufuzu kwa Michuano hiyo ambayo mara ya mwisho kushiriki ilikuwa 1980
Pongezi za Chadema zimeelekezwa kwa wachezaji , benchi la ufundi na washangiliaji waliojituma bila kuchoka ili kuipa hamasa timu yao .
Ndo maana hawajampongeza Makonda kumbe walitaka tufungwe!CHADEMA acheni unafiki, nyie si ndio mliokuwa mnaiombea Taifa Stars ifungwe na kumbeza Makonda Kuhamasisha Watu Waende Uwanjan? Mashetani Wakubwa Nyie
Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwakinyo anajitegemea binafsi sifa inapewa ccm watanzania kwa kunafikiMkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda ha ha apongezwe kwa lipi wale vijana walisema nchi sio upuuzi wa Makonda unatangaza ulevi kweli hiyo ni akili heko Taifa stars mumeonyesha hamuendeshwi na washamba kama makondaNdo maana hawajampongeza Makonda kumbe walitaka tufungwe!
Wanafiki nyie. Hapo msijikombe, hamuhusiki hata kidogo. Mnahusika mmoja mkoja kama watanzania ila kama chama hamuhusiki hata kidogo tena mnatakiwa mtokomezwe kabisa maana leo mlikaa kitako kusubiri stars ishindwe muanze yale yenu. Mungu kawaumbua. Baada ya Nyerere mwala 1980 wa pili ni Magufuli. Hawa jamaa wanafanana sana.
Wewe hali mitaani unaiona njema sio!?Mkuu umeongea mengi ya msingi Ila nikukosoe sehemu moja tu, hili taifa halijajigawa. Kama ilivyo mitazamo ya mambo mengine mitandaoni na hili lipo hivyo. Mfano mwaka 2016,2017 nilikuwa nje ya nchi kwa muda wa miezi mingi nilikuwa nikipitia humu naogopa, nilihisi Tanzania watu hawana hata 200 ya kunywa chai asubuhi kwa namna uchumi ulivyokuwa unaongelewa humu. Kila thread ni uchumi unayumba, uchumi unayumba.Wengine njaa,njaa mpaka Lissu naye kuingiza siasa kwenye njaa.Niliporudi nikashangaa mambo tofauti kabisa, mtaani ni picha tofauti na ya humu JF. Hivyo hivyo swala unalolisema la kuligawa Taifa, kwa mtu asiyekuwa nchini angepitia Jamii Forums akaona thread zenu za kuiombea mabaya Taifa Stars na LIKES kibao angesikitika Sana akihisi watanzania wamefikia hapa?, kumbe ni wanafiki wachache tu wa mitandaoni.Nimeenda Taifa huo umati wa watu na foleni za magari, uswahilini ndo usiseme na wachache waliotaka timu ifungwe ni sababu za kubet(Mikeka), wenyewe wanasema nimeiua Taifa Stars point zilikuwa nyingi, wala hawana time na siasa zenu. Nimegundua ndo maana mmejazana humu kudanganyana eti watu wanamchukia JPM na serikali hii, mwakani mtashangazwa Sana msipobadilika. Watu sio wajinga kuzungusha tena mikono.
Ccm anzisheni timu yenu kama TOT hamjalatazwa, National team msituletee uchoko wenu.Ukiangalia nyuzi za kabla ya mechi utaona wazee wa kuitakia nchi mabaya walitaka tufungwe. Na wengine wakaahidi na mafi lakini cha kushangaza kwa unafiki saa hizi wanajikomba komba eti tuko nao pamoja. Hawa watu ni wanafiki sjapata kuona.
Na wewe mkuu ifike hatua uache unafiki ilifikia hatua ukahoji kuhusu mkuu wa mkoa kuwa kwenye kamati ya ushindijikite kwenye mada badala ya porojo za kichovu zisizo na tija
Never trust CHADEMA Leo wanajifanya kusifia baada ya sala zao za ovyo kufeli ilifikia mahali wakataka watz tufarakane kisa jeziUkiangalia nyuzi za kabla ya mechi utaona wazee wa kuitakia nchi mabaya walitaka tufungwe. Na wengine wakaahidi na mafi lakini cha kushangaza kwa unafiki saa hizi wanajikomba komba tuko nao pamoja. Hawa watu ni wanafiki sjapata kuona.