sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,156
Nyum.bu mlikua waganda jana, huto tu pongezi uchwara kawapeni waganda.Wewe ndo shetani mkubwa tena mwenye mapembe!
Pongezi za CHADEMA zinaonesha UZALENDO wa kweli! Siyo mijitu ya CCM inakuja kumsifia RC Makonda utafikiri yeye ndo kafunga magoli yote.....huo ni UNAFIKI uliopitiliza.....!!!
Sent using Jamii Forums mobile app