Chadema yaipongeza Taifa Stars kwa kufuzu AFCON 2019

Kinachoshangaza ni ninyi kutaka/kulazimisha mawazo yenu ndio yawe ya jamii yote.

Tumetaka kulazimisha wapi? Wapi umeona wapinzani wakitumia vyombo vya kimamlaka kupata ushawishi zaidi ya kujenga ushawishi wa hoja? Umewahi kuona wapi wapinzani wakifanya mkusanyiko wakatoa vitisho vya yule ambaye hatahudhuria atachukuliwa hatua? Huku jukwaani ni eneo huru sio eneo la kulazimishana, labda kama hujui maana ya kulazimisha.
 
Kama mlijua hawana mchango wowote zile dua mbaya dhidi ya Tanzania zilikua za nini?Sema saiz mnatapatapa tu

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Wakikujibu nitag mkuu
 
Yaani ilikuwa ukisoma nyuzi zao jinsi wanavyokashifu na kuombea mabaya Taifa stars huwezi kuamini kama ni Watanzania kweli
 
Timu 24 zinazoqualify imetubeba..hata miaka ya nyuma ingekuwa hivi tungekuwa tumefuzu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…