CHADEMA Yaisambaratisha CCM Kyela; ngome ya Mwakyembe yatikiswa

"CHADEMA Yaisambaratisha CCM Kyela; ngome ya Mwakyembe yatikiswa"

Hiki kichwa cha habari chasema mengi kuliko face value yake.
 

Hii inanilkumbusha mjinga mmoja pale kyela anaitwa Ima yeye kutwa ni kuongea na kumfuatilia dokta na kipikipiki chake wakati yeye majukumu yake ni zero kabisa. Sasa kama wewe huwezi kutekeleza majukumu yako hata kwa asilimia 49% unawezaje kweli kuanza kumsema mwenzio.

Kweli watu tumetofautiana sana
 
Du!! mawazo yangu MH. itabidi sasa urudi class maana tunakumiss sana huku kwani ukiwapigia goti watu hawana Elimu Mbaya sana Please come back
 
.

Mkuu, umefulia na points zako
 
hakuna ukweli huu wote umbea tu na hizi ni fitna za mwakalinga na nyie wake zake vimada aliowatuma humu JF kuleta majungu ya kyela njaaa tu hakuna kitu hapo
 
Kama chama cha Mwakyembe hakikubaliki nyumbani kwake na kumbuka yeye aliwapanga wapambe wake ili mambo yamwendee murua mwakani, hizo sio salamu tosha akae chonjo 2010?

na je kama chama cha makamu wa rais[aliyepo na aliyepita/omar juma]hakikubaliki nyumbani inakuwaje?[kwa kuwa majimbo yao yanaongozwa na wapinzani]
na je ikifikia siku wapinzani wanachukua jimbo analotoka rais wa nchi tutasemaje kuhusu rais?
 
Always ukiamini kazi ya Fisadi nawe ni Fisadi. Tokea lini Mtanzania likamwandika vizuri Mwakyembe? Hapo Umenowa Kommesha ya mafisadi acha kununua bidhaa au service zao
 
Always ukiamini kazi ya Fisadi nawe ni Fisadi. Tokea lini Mtanzania likamwandika vizuri Mwakyembe? Hapo Umenowa Kommesha ya mafisadi acha kununua bidhaa au service zao
.

Na magezeti ya yule fisadi nyangumi,aliyetajirika kwa kipindi cha miaka minane tu na kuifilisi NBC yetu,mbona yanampamba kila siku mwakyembe?
 
.

Na magezeti ya yule fisadi nyangumi,aliyetajirika kwa kipindi cha miaka minane tu na kuifilisi NBC yetu,mbona yanampamba kila siku mwakyembe?

Mwenzetu wewe wawapi?..............

kama unakifahanu kiswahili vile, ila sidhani kama Mtz.

mengi na azizi wapinawapi, hata mtoto anaejifunza uraia darasa la3 anajua tofauti zake..
 
Mimi nadhani wanakyela wameanzakukomaa kisiasa, hawachagui chama bali wanachagua mgombea anayewafaa tofauti na hapo ni kwamba chadema inakubalika kwa sasa wilayani kyela. Vyovyote vile Mwakyembe anabakia kuwa mtu muhimu kwa mustakabali wa taifa hili, legacy hiyo anaipata kwa kuwa mmoja wa wanaharakati waliohusika kuliondoa CHUKIZO LA UHARIBIFU MAHALI PATAKATIFU. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni jamani, Mwakyembe bado ana nafasi yake nzuri tu ktk siasa za taifa hili.
 
huu ni unafiki tu.....Dk. mwakyembe siyo kihiyo kama akina makamba so hata ubunge ukiota mbawa bado milioni zinamsubiri pale school of law.
 

kama hii ilikuw ani startegy ya rafiki yangu Mwakalinga.....basi kachemsha big time..........siku zote kwenye siasa.....ushindi wa chama ni muhimu
 

Hao wapambe hawana majina? Uthibitisho gani kuwa hawa ni wapambe wa Mwakyembe na wala sio vinginevyo?
 
Kumbe school of law kuna mamillioni?? au kujifariji manake mtu hakiwa mbunge anavuta zaidi kuliko kula chaki bana.

Habari ni ya kishabiki zaidi manake kama ushindi ni 95% sasa kusambaratishwa kunatoka wapi kama sio kupakana matope. Na wote walio shinda wametoka CCM mwezi kabla ya uchaguzi lini wamepata itikadi za Chadema kama sio kuchezeana shere na kuonyesha kuna upinzani kumbe zuga tu.

Kali kuliko zote mganga alikuwa mwenyekiti anayeshikilia madaraka alitema uenyekiti wa kitongoji na kumwachia mshkaji wake ili agombee uenyekiti wa kijiji sasa kustuka Kyela imekuwa mamlaka ya mji mdogo na hakuna mwenyekiti wa kijiji ndio jamaa akakimbilia Chadema na kushinda manake mshkaji hauziki na ni mwandishi wa habari.

Sasa uadilifu wa viongozi wa namna hii huko wapi kama sio kupotezeana muda na wizi mtupu na kupakana matope upinzani unajimaliza wenyewe kwa kulundika makapi ya CCM na waroho wa madalaka.
 
Yale Yale....siasa za Kyela kwlei ngumu wajameni. Hivi hizi nguvu za kisiasa zipo ki hivyo au zinapewa uzito usiostahili na vyombo vyetu vya habari?

nadhani kulikuwa na proposal pia kuwa na kasub forum ka wanaKyela ili waweze kukata issue vizuri.
 
He he heeeee ....... Minyakyusa bwana!!!!! Heri sisi wa Sikonge tuna Mbunge aliyekaa kama Hitler vile. Halafu JF tupo wanne tu........
 
 
Hapa ni uzushi mtupu kwani kyela kuna vitongoji vingapi? na CCM imesambaratishwa kivipi? Unamaanisha chadema wameikamata Kyela?.Tupe jumla ya vitongoji vilivyochukuliwa na CCM na vile vilivyochukuliwa na chadema. KUshindwa kwa mpambe wa Mwakyembe katika kitongoji ndio kushindwa kwa Mwakyembe?. Hapa ni kujifariji tu. Umejaa uzushi mtupu.
 

Kuna watu wana akili duniani!!! Wee Wacha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…