kuna wanakyela feki humu ambao wanajifanya mslahi yao ni kyela tu, hiyo ni dhambi mbaya! kwamba wanachokiona kwa Dr, ni kusahau jimbo na kuwa Mtaifa na kwao hili ni baya! HAWATUFAI
hivi unafikiri barabara itajengwa kwa kirahisi ndani ya miaka 4 wakati tuko kwenye mapambano................
Mheshimiwa Shukuru apange bajeti, Mhe. Mwakipesile atoe mazingira mazuri ya ketekelezeka....bado.
tuje kwenye source;tazama. lile la charles charles!!!!!!!!!!!
kama ndio washabiki wa kyela wanatumia source ambayo kila mtu anajua imecling na akina nani, na hao akina nani wanamsaada gani kwa taifa....basi hata akikosa ubunge next He will be right at, cause its seemz most of people are ignorance by choice, not by design as most pple be.
all in all, Dr ni kichwa, na amebadilisha mfumo wa kisiasa, majadiliano mpaka ushabiki.
within 4 years as MP, things have changed totaly. Na kwa wale wanaodhani watatudiscourage kwa kupitia humu ndani, ni ngumu, jamaa influence yake bado ni great per now, i don knw next!
bravo Dr