Bawacha ni ccm sikuhiziBawacha wamepeleka tayari akina Mdee na Bulaya. Nyinyi mlie tu! Mnachezeshwa kama mazezeta!
Kwa hiyo unataka kusema ukali wa NEC kuwa hawawezi kupokea majina bila utaratibu wa chama sasa hivi hakuna? Kwamba sasa NEC hawana shida Bawacha wasipofuata utaratibu wa kikatiba wa chama chao sio? Sijakuelewa.Bawacha wamepeleka tayari akina Mdee na Bulaya. Nyinyi mlie tu! Mnachezeshwa kama mazezeta!
Kamanda aliyewakimbia anarudi lini? Nasikia kaenda kukinukisha tena DW...Dr Mahera atavuna anachopanda
Sasa wanalazimisha wabunge ambao iliwakataa! Kuna jambo wameligundua.
Kila siku nipo barabarani mbona!?Huna lolote wewe! Lissu alikuambia uiingie barabarani ukagwaya! Unaweza nini wewe!!!?
😁😁😁mbavu zangu.Safi sana chadema. Mahera jina lake liongezwe ICC. Huyu fala ni kama mchepuko wa mhutu. Hana akili na hajiongezi.
Lengo ni kupata pesa za ruzuku kwa ajili ya vyama vingi toka nje. Krb tilioni 2 watazipataje bila uwepo wa upinzani.Sasa wanalazimisha wabunge ambao iliwakataa! Kuna jambo wameligundua.
Lengo ni kupata pesa za ruzuku kwa ajili ya vyama vingi toka nje. Krb tilioni 2 watazipataje bila uwepo wa upinzani.Sasa wanalazimisha wabunge ambao iliwakataa! Kuna jambo wameligundua.
Kama ni chama cha umma nenda kajiunge huko Chadema. Buku 7 ni shida sanaChadema mnavyohangaika, hiki chama sio cha mbowe lissu wala mnyika! Ni chama cha umma!
Wameisha ya tambua matokeo au bado hawa yatambui matokeoView attachment 1623491
Biashara za watu
Hawara in mamako au dadako??povu jingiCHADEMA imejaa watu wapu-mbavu (eti yanajiita viongozi)! Majina ya Wabunge wa viti maalum hupelekwa kwenye Tume ya Uchaguzi (NEC) Siku 30 kabla ya Uchaguzi Mkuu. Sasa nyie mlipeleka nini!!? Acheni ushamba wewe Mnyika na Mbowe, tunajua mnataka kuchezea majina ya wanaostahili ili mjaze mahawara zenu! CHADEMA ni taasisi ya Umma na si mali ya Mbowe! acheni ujinga!
Hiki ndio kinafirahisha moyo wako?Aisee achaa Nile
Ujaonaa Neno fala hukoo JUU umekaa KIMYA unambiwa mumewenu unatapikaaaa harishakabsaa