CHADEMA yaiteua siku ya Jumamosi kuwa siku ya wananchi kuvaa sare za chama hicho nchi nzima

Mwitikio kwa siku ya kwanza si haba , nimeona watu kadhaa wametupia vijigwanda vyao japo vimepauka , hongera sana Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…