CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa habari Makao Makuu ya Chama nje ya Jiji , Kinondoni

CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa habari Makao Makuu ya Chama nje ya Jiji , Kinondoni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
instagram(1).jpg


Utaratibu kwa wote watakaohudhuria ni ule ule wa kufuata mwongozo wa WHO ili kudhibiti maambukizi ya Virus vya Corona
 
Sister unastahili nafasi pale ufipa. Kitengo cha uenezi. Makene anapwaya sana.
Ahsante kwa taarifa
Chato kuwa New York madege makubwa kutuwa huko
Sister unastahili nafasi pale ufipa. Kitengo cha uenezi. Makene anapwaya sana.
Ahsante kwa taarifa
Mataga wamefutika .....aiseeh wako mtaani hawaamini
 
Warioba:chadema Kama mnataka demokrasia nchini Basi muanze na nyie kuzingatia demokrasia kwenye chama chenu ndani kwa ndani....haya yamesemwa na warioba



My take:CDM changamkeni nchi imepoa kdg jamani ebu wapelekeni mbio Hawa


Now or never
 
Protocol zipi hizo za kujikinga.? Mbowe c alisema hataki watu kwenye msiba mana kuna Corona.? Alishindwa vipi kuwaambia watu waje kwenye msiba huku wakizingatia hizo protocol za corona.?
Jikite kwenye mada husika
 
Warioba:chadema Kama mnataka demokrasia nchini Basi muanze na nyie kuzingatia demokrasia kwenye chama chenu ndani kwa ndani....haya yamesemwa na warioba



My take:CDM changamkeni nchi imepoa kdg jamani ebu wapelekeni mbio Hawa


Now or never
Warioba alikua ana refer ubabe wa meko pale ccm sio chadema......
 
Katika moja ya disadvantage ya kuvaa barakoa ni watu kujiona wako safe wakiwa wamevaa barakoa na matokeo yake ndio hufanya mikusanyiko ambayo ilikuwa na option ya kutokuifanya kwa kukusanya watu, yote ni kwa sababu ya barakoa ndio kitu chenye kutegemewa.
 
Back
Top Bottom