Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Mmbea no 1 usijifanye umepitwa😀
Ingekuwa kafa- wangeomboleza kwa maandamano- huyo ni mtu wao na hilo na laoTunajitenga na kauli zote zilizotolewa zenye viashiria vya udini kwani huo sio msimamo wa Chama na zinapaswa kupingwa na kila mtanzania bila kujali dini, kabila au mahali alipotoka.
View attachment 3113070
Naona baada ya maandamano kubuma huku Bara sasa wanatafuta pakutokea huko Zenji!!Rais Samia aliposema hawa watu wanapanga kuleta machafuko watu walibisha sana, tusubiri tuone maana hao wazee ni wazima wa afya hawajachanyikiwa, kusema hayo waliyosema kuna baraka zimetolewa
mambo yandani ya vyama saa zingine busara kubwa sana inatakiwaÉeh! Sasa kwa chadema kujitenga nao, hao wazee si watatekwa!??

DuuTunajitenga na kauli zote zilizotolewa zenye viashiria vya udini kwani huo sio msimamo wa Chama na zinapaswa kupingwa na kila mtanzania bila kujali dini, kabila au mahali alipotoka.
View attachment 3113070
Hii ndio tofauti kubwa kati ya CHADEMA na chama chawala.. Kiongozi katoa boko haraka sana chama kimetoa tamko rasmi tena kwa maandishi.. Ingekuwa mbogamboga kila kiongozi angetoka na tamko lake na yote yangekinzanaIngekuwa kafa- wangeomboleza kwa maandamano- huyo ni mtu wao na hilo na lao