CHADEMA yajitenga na kauli za BAZECHA kuhusu hoja za udini

CHADEMA yajitenga na kauli za BAZECHA kuhusu hoja za udini


Ingekuwa kafa- wangeomboleza kwa maandamano- huyo ni mtu wao na hilo na lao
Hii ndio tofauti kubwa kati ya CHADEMA na chama chawala.. Kiongozi katoa boko haraka sana chama kimetoa tamko rasmi tena kwa maandishi.. Ingekuwa mbogamboga kila kiongozi angetoka na tamko lake na
 
Dah! Kama wazee wa CHADEMA wanaongea uharo itakuwaje kwa BAVICHA? Nilishasema ukimtoa Mbowe hakuna mwanachadema mwingine mwenye busara na hekima. Inasikitisha sana wazee wanaotegemewa na chama kwa busara kuja na matamko ya kichochezi. WANANCHI TUKIADHIBU CHADEMA KWENYE SANDUKU LA KURA.
 
Lakini Wazanzibari hawajihesabu kuwa ni Watanzania. Vilevile Zanzibar ni nchi ya Kiislamu. Sasa kuna ajabu gani kwa huyo Mzee wa Kizanzibari kutoa kauli kwamba Zanzibar ijiunge na OIC? Na kuna ajabu gani Wazanzibari wakifurahia na kukumbusha kwamba tuna Raisi Mzanzibari?
 
Naona wazee wameamua kutokuwa wanafiki tena wa vyumbani, wameyabwaga hadharani Yale yajadiliwayo vyumbani. Kimsingi hiyo ndo dhima iliyojificha ya Chama hiki; kuleta utengano wa kidini, kikanda na kikabila na kuvuruga utawala wa huyu mama.
-walishazungumza huko nyuma kuhusu kuanzisha nchi itakayoundwa na mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
-kikwete walishamhusisha sana na habari za udini.
-huyu mama wameutaja mara nyingi sana uzanzibari wake.

Hiyo kukanusha ni unafiki tu wa kuwahadaa wapumbavu. Lakini wameumbuka. Naukumbuka ule usemi (methali?) usemao, "Mungu hamfichi mnafiki".
 
Lakini Wazanzibari hawajihesabu kuwa ni Watanzania. Vilevile Zanzibar ni nchi ya Kiislamu. Sasa kuna ajabu gani kwa huyo Mzee wa Kizanzibari kutoa kauli kwamba Zanzibar ijiunge na OIC? Na kuna ajabu gani Wazanzibari wakifurahia na kukumbusha kwamba tuna Raisi Mzanzibari?
Hizo ni kauli za kichochezi
 
Tunajitenga na kauli zote zilizotolewa zenye viashiria vya udini kwani huo sio msimamo wa Chama na zinapaswa kupingwa na kila mtanzania bila kujali dini, kabila au mahali alipotoka.

View attachment 3113070
Hizo ni kauli za kichochezi
Mfano wa Waumini katika kuhurumiana kwao, kupendana kwao na kushikamana kwao ni kama mwili mmoja; inapoumwa sehemu moja ya mwili, mwili mzima huugulia kwa homa na kukosa usingizi."
— (Bukhari na Muslim)Hadithi hii inasisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa na mshikamano na kusaidiana, kama vile sehemu za mwili zinavyohisi maumivu ya sehemu nyingine. Inalenga kuimarisha upendo, huruma, na ushirikiano miongoni mwao.
 
Ingekuwa kafa- wangeomboleza kwa maandamano- huyo ni mtu wao na hilo na lao

Yes. Wamejitenga na kauli yake. Hawajajitenga naye.

Pia kama ukiisikiliza hotba yake vizuri ..... binafsi ambaye sina chama, alikuwa anaongea kwa kuwachallenge CCM .... ila itakuwa ameeleweka vibaya au hakupresent vizuri kama alivyokuwa anafikiria. Hiyo clip ilipokatiwa anapotosha kwa kiasi kikubwa ujumbe wa huyo mzee. Ukisilikiza hotuba yake yote anaweleweka.
 

Dah! Kama wazee wa CHADEMA wanaongea uharo itakuwaje kwa BAVICHA? Nilishasema ukimtoa Mbowe hakuna mwanachadema mwingine mwenye busara na hekima. Inasikitisha sana wazee wanaotegemewa na chama kwa busara kuja na matamko ya kichochezi. WANANCHI TUKIADHIBU CHADEMA KWENYE SANDUKU LA KURA.
Upe muda wakati.. CHADEMA ni taasisi inayoongozwa na taratibu kanuni na sheria.. Watu hukosea.. Huyu kakosea na chama kimetoa tamko rasmi tena kwa maandishi.. Hivi CCM wangeweza kweli kufanya hivi? Kuwa mkweli
 

Dah! Kama wazee wa CHADEMA wanaongea uharo itakuwaje kwa BAVICHA? Nilishasema ukimtoa Mbowe hakuna mwanachadema mwingine mwenye busara na hekima. Inasikitisha sana wazee wanaotegemewa na chama kwa busara kuja na matamko ya kichochezi. WANANCHI TUKIADHIBU CHADEMA KWENYE SANDUKU LA KURA.
Upe muda wakati.. CHADEMA ni taasisi inayoongozwa na taratibu kanuni na sheria.. Watu hukosea.. Huyu kakosea na chama kimetoa tamko rasmi tena kwa maandishi.. Hivi CCM wangeweza kweli kufanya hivi? Kuwa mkweli
Kwa kuwa ni muslama mnajitokeza kupinga ,vipi ubaguzi wa mzee mbowe na Lissu hamkuuona?
Ndani ya CHADEMA hatuangalii imani ya mtu
 

Lakini Wazanzibari hawajihesabu kuwa ni Watanzania. Vilevile Zanzibar ni nchi ya Kiislamu. Sasa kuna ajabu gani kwa huyo Mzee wa Kizanzibari kutoa kauli kwamba Zanzibar ijiunge na OIC? Na kuna ajabu gani Wazanzibari wakifurahia na kukumbusha kwamba tuna Raisi Mzanzibari?
Anaweza kuwa sahihi sana lakini kwenye mazingirw yasiyo sahihi
 
Back
Top Bottom