Ripoti ya CAG
Ama kwa hakika upepo wa kisulisuli tokea chadema haujakuacha salama.
Ushauri wa bure ng'ang'ania dera! 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ripoti ya CAG
Jibu swali kapuku weee !Unayajua majukumu ya Rais?
Unawauliza hao vilaza maswali magumu hivyo.Wanaojiropokea uku JF sio hizi hawajui chochote zaidi ya kupiga tu soga siku ziende.Hivi Majukumu ya waziri mkuu ni yapi ?
Umeshapanic 🤩🤩Jibu swali kapuku weee !
Bora kuwa kapuku ila siyo kukosa oblongata............. yaani meli inayumba unawalaumu abiria?Jibu swali kapuku weee !
Waziri mkuu anapangiwa Majukumu na RaisJibu swali kapuku weee !
Mbona amesema Rais asikwepe jukumu lake kama kiongozi wa nchi kuchukua hatua hata kama ripoti itajadiliwa bungeniChadema wanataka PM ajiuzulu wakiwa na maana kwamba wameridhishwa na utendaji kazi wa Rais?
Bahati nzuri huyu Mnyika ndie aliwahi kumuita JK dhaifu, hebu atuambie, mpaka sasa hajaona viashiria vyovyote vya udhaifu kwa huyu aliyepo?
Anyway, ngoja kwanza niweke kiporo maoni mengine nikiwasubiri wamalizie huo uchambuzi wao, siku wakimalizia kiporo kilichobaki naamini nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kutia neno katika hili.
Majukumu ya waziri mkuu ni yapi ?Rais Samia anajua sana siasa,sio mbabe ila anaogogwa sana na Wapinzani,mtangulizi wake alikuwa mbabe lakini Wapinzani walimchana tu,ingekuwa awamu ya tano huu msalaba angeubeba Magumu na sio Majaliwa
Hivi asipojibu watamfanya nini?Chadema , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Yaani sisi tumsikilize Mwigulu !Chadema acheni upuuzi, sikilizeni clip ya mwiguru mtamjua muhusika.
Kwani Mteuwaji wa Waziri Mkuu yeye anasemaje!!!??? Kama Mteuwaji karidhika nae, CDM wao kinawauma Nini!!?Majukumu ya Waziri Mkuu ni yapi ? au kwa kurahisisha , unajua kwanini Rais wa Tanzania anateua Waziri Mkuu ?