Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo nenoWeh ajiuzulu tambi lote hilo lishazoea kula vya bure kulipiwa hadi pesa za kunyonyea maji taka kwenye makazi yao Aiwezekani hyoo
Ni wito umetolewa kiungwana , sasa akisubiri kutimuli hilo ni lake sasaMajaliwa huyu ndo wankujiuzulu kweli?
Kwa.nini Chadema wanashindwa kusema Rais Samia Suluhu ndiye anahitajika kujiuzuri? Timu ikishindwa kuleta matokeo chanya, anaondolewa kocha sio captain wa timu..View attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhinisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
Mwamsheni Mnyika mwambieni atoke usingizini anafanya matumizi mabaya ya usingiziView attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhinisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
Sasa Chadema mmeona mkimsema samia mtakuwa mmetibua asali bora mmeseme Majaliwa hahahaha
Sasa Majaliwa ana kosa gani?
Kama Samia anawogopa mawaziri na wakuu wa taasisi nani atawawajibisha?
Chadema mna vichekesho sana….mmeshindwa ata kusema waziri fulani ajiuzulu?
Akijiuzulu Waziri Mkuu, ndiyo mwisho wa baraza lote la mawaziri.
Hapa sijaelewaNi wito umetolewa kiungwana , sasa akisubiri kutimuli hilo ni lake sasa
ACT Vichaa😄😄😃😄
ACT Wazalendo wamtaka waziri Mbarawa ajiuzulu 🤩🤩🤩
Kuna mpuuzi mmoja anadai chadema walipewa pesa ili wasiongelee mambo ya TANESCO ameshupaza shingo sijua kwamba hata kula amekula leo
Akikujibu mrejesho utapendeza zaidi.Nakuona hapoView attachment 2583442
Kwani umeshindwa kuzitambua hoja za Chadema au za Prof. Assad hapo?Mnataka kutembelea Nyota ya Prof Assad!
Hawa Chadema naona bora wangechukua muda mrefu zaidi waje na ripoti kamili, kuliko hivi walivyofanya kutoa ripoti nusu, sijui walikuwa na haraka ya nini kufanya hivi, njoo na jambo kamili, uki-push, una push moja kwa moja.
Sio leo wenasema PM na Mwigulu wanapaswa kujiuzulu, kesho tena wakija na nusu ripoti iliyobaki waseme fulani na fulani wanatakiwa kujiuzulu, wakati hawa wa mwanzo bado wako ofisini, mwishowe unageuka usanii mtupu.
Hoja ya Chadema ni kwanini Halima Mdee na Mama Kaboyoka walikaa pembeni ya CAG Kichere mmoja upande wa kushoto na mwingine mkono wa kulia!!!Kwani umeshindwa kuzitambua hoja za Chadema au za Prof. Assad hapo?
Au ni kile kizungu zungu Cha siku zote ukipatacho kila usikiapo jina Chadema?
Haiwezi kutumbuliwa sababu ni muuminiView attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhinisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
Hoja za Chadema?Hoja ya Chadema ni kwanini Halima Mdee na Mama Kaboyoka walikaa pembeni ya CAG Kichere mmoja upande wa kushoto na mwingine mkono wa kulia!!!
Naziona ITVHoja za Chadema?
View attachment 2583685
View attachment 2583687
View attachment 2583695
View attachment 2583696
Nakadhalika.
Wapi unamwona Mzee Mdee kwenye hoja za Chadema?