Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Majukumu ya Waziri Mkuu ni yapi ?Ajizuru ili iweje?Wa kujiuzuru ni Rais Samiah Suluhu kwa sababu amekumbatia uozo wote wa Magufuri mfukoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majukumu ya Waziri Mkuu ni yapi ?Ajizuru ili iweje?Wa kujiuzuru ni Rais Samiah Suluhu kwa sababu amekumbatia uozo wote wa Magufuri mfukoni.
Wewe ndio umepaniki!😄😄😄 Umeshapanic
CCM ni chama kikubwa sana
Hahaahahahahahahaaha anadandia hoja tuAna nyota Sasa?
Wanawawahi ACT WazalendoHawa Chadema naona bora wangechukua muda mrefu zaidi waje na ripoti kamili, kuliko hivi walivyofanya kutoa ripoti nusu, sijui walikuwa na haraka ya nini kufanya hivi, njoo na jambo kamili, uki-push, una push moja kwa moja.
Sio leo wenasema PM na Mwigulu wanapaswa kujiuzulu, kesho tena wakija na nusu ripoti iliyobaki waseme fulani na fulani wanatakiwa kujiuzulu, wakati hawa wa mwanzo bado wako ofisini, mwishowe unageuka usanii mtupu.
Mimi napitia uchambuzi wa ACT Wazalendo hapa!Wewe ndio umepaniki!
Nakuona hapoMimi napitia uchambuzi wa ACT Wazalendo hapa!
Na iwe hivyo....Akijiuzulu Waziri Mkuu, ndiyo mwisho wa baraza lote la mawaziri.
Huu ndo ujinga WA wapinzani wetuView attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhinisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
Wanamjua ila asali nzuriMh. Majaliwa wanamuonea tu.
Mamlaka ya Uteuzi na Uwajibishaji inatakiwa iwajibike.
Hapa CHADEMA wasizunguke Mbuyu.
Anajulikana mama stupidChadema tunajua anayewalipa kwa Sasa ila wananchi wanajua
HayaHuu ndo ujinga WA wapinzani wetu
Hivi Majukumu ya waziri mkuu ni yapi ?Sasa Chadema mmeona mkimsema samia mtakuwa mmetibua asali bora mmeseme Majaliwa hahahaha
Sasa Majaliwa ana kosa gani?
Kama Samia anawogopa mawaziri na wakuu wa taasisi nani atawawajibisha?
Chadema mna vichekesho sana….mmeshindwa ata kusema waziri fulani ajiuzulu?
Mkuu kwa nini Mbarawa?😄😄😃😄
ACT Wazalendo wamtaka waziri Mbarawa ajiuzulu 🤩🤩🤩
Mwizi makazi yake ni kisongo alipokuwa shujaa wenuMnataka kutembelea Nyota ya Prof Assad!