Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hapana tunataka kutembelea Nyota yakoMnataka kutembelea Nyota ya Prof Assad!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana tunataka kutembelea Nyota yakoMnataka kutembelea Nyota ya Prof Assad!
Akijiuzulu Waziri Mkuu, ndiyo mwisho wa baraza lote la mawaziri.[emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]
ACT Wazalendo wamtaka waziri Mbarawa ajiuzulu [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Hutaki ?Pumbavu stupid!
Baada ya kurambishwa asali
Kichaka cha Magufuli kimeungua sasa nyeti zote nje
Ana nyota Sasa?Hapana tunataka kutembelea Nyota yako
Chadema tunajua anayewalipa kwa Sasa ila wananchi wanajuaView attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutosha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko kKinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
Halafu anateuliwa Katambi kuwa waziri mkuu mpya!Akijiuzulu Waziri Mkuu, ndiyo mwisho wa baraza lote la mawaziri.
Bongo hiihii?View attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutosha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko kKinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
😄😄😄 UmeshapanicHapana tunataka kutembelea Nyota yako
Kwamba Waziri Mkuu hapaswi kujiuzulu ?Chadema tunajua anayewalipa kwa Sasa ila wananchi wanajua
Ajizuru ili iweje?Wa kujiuzuru ni Rais Samiah Suluhu kwa sababu amekumbatia uozo wote wa Magufuri mfukoni.View attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhinisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
Kweli wanamopuonea tuMh. Majaliwa wanamuonea tu.
Mamlaka ya Uteuzi na Uwajibishaji inatakiwa iwajibike.
Hapa CHADEMA wasizunguke Mbuyu.
Due to my respect, chadema kwa sasa sio chama bali ni wapuuzi flani hiviUzuri wa CHADEMA haina papara.. Maana kuna wajinga walishaanza kuongeaView attachment 2583373
Hao wachovu hawana la kumfanya. Ni mtu moja hapa duniani anaweza kumwajibisha Majaliwa Dr. Samia Suluhu Hassan hakuna mwingine hao ni mapoyoyo tu.View attachment 2583352
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , kimetoa muda wa siku 3 kuanzia leo hadi 13/4/2023 kwa Waziri Mkuu Mh Kasimu Majaliwa awe amewajibika kutoka na ubadhirifu wa kutisha ambao umeanikwa na ripoti ya CAG .
Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam .
Mnyika amesema kwamba ubadhirifu huu ni Ushahidi wa wazi kabisa wa uwajibikaji mbovu wa Waziri Mkuu , ambaye ndiye Mtendaji Mkuu , mdhibiti mkuu na msimamizi mkuu wa utekezaji wa shughuli zote za Serikali .
Mnyika amedai kwamba ripoti ya CAG kwa miaka 2 sasa imeonyesha madudu mengi mno yasiyo na majibu , huku kukiwa hakuna hatua zozote za maana zilizochukuliwa , na katika kipindi chote hicho Msimamizi wa Shughuli za Serikali , kwa maana ya Waziri Mkuu ni Kasimu Majaliwa .
Chadema inatarajia Waziri Mkuu atatumia hotuba ya kuidhinisha bajeti ya ofisi yake tarehe 13/4/2023 bungeni Dodoma kutangaza pia kujiuzulu baada ya kushindwa kabisa kusimamia shughuli za serikali kama kiapo chake kinavyomuelekeza .
Mungu ibariki Tanzania .
Aliyemuwajibisha Lowassa alikuwa nani ?Hao wachovu hawana la kumfanya. Ni mtu moja hapa duniani anaweza kumwajibisha Majaliwa Dr. Samia Suluhu Hassan hakuna mwingine hao ni mapoyoyo tu.