CHADEMA yampa siku tatu Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa awe amewajibika

Na wenyewe ni yale yale tu wapigaji, kama hawawezi kujua kiasi walichopata kwenye kampain yao ya join the chain watatuambia nini kuhusu ufisadi? Yaani hii nchi sina imani na wanasiasa kutoka chama chochote kile.
 
Na wenyewe ni yale yale tu wapigaji, kama hawawezi kujua kiasi walichopata kwenye kampain yao ya join the chain watatuambia nini kuhusu ufisadi? Yaani hii nchi sina imani na wanasiasa kutoka chama chochote kile.
jikite kwenye mada
 
Yaani mwamba unatoa madini Sana sikuwahi kukufikiria
 
Bubu yangu alikua anasema DEMETI safi sana kamanda tunataka watu imara .
 
Hii ilishia wapi sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…