Pili uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu ni vielelezo tosha,vile vile wale wabunge wa viti maalum ambao inasemekana ni wabunge waliotokana na Chadema na chadema kupitia kikao halali na nyaraka halali kiliwafuta uanachama,lakini serikali ya ccm ikatumia nguvu kuwalinda kuwa ni wabunge wa chadema,ina maana chadema kama chama halali hawana maamuzi yao mpaka yaingiliwe na ccm?
Au kwa vile chadema hawana dola ndiyo maana ccm inatumia mwanya huo kuvuruga mambo makusudi ambayo ni jinai hapo baadaye?Unapowashambulia chadema uwashambulie kwa sababu za msingi na sio ushabiki na dharau ambazo baadaye zitakuja kuumiza baadhi ya watu,weka kumbukumbu.