CHADEMA yampongeza Rais mpya wa Zambia, Hakainde Hichilema kwa ushindi wa kishindo

CHADEMA yampongeza Rais mpya wa Zambia, Hakainde Hichilema kwa ushindi wa kishindo

Mpinzani akiingia madarakani si mpinzani tena ni mtawala. Anapimwa kama chama tawala. Anatolewa maana akionyesha mwenendo mbovu wa kukiuka haki za binadamu na kupuuza katiba, sheria. Anakaliwa kimya akifanya mazuri kama anavyotarajiwa.

Kiuhalisia kuna vyama mbadala tu. Anayeingia madarakani anakuwa chama tawala na anayejikuta nje anakuwa upinzani (opposition) akiwa na jukumu la kuu la kukosoa chama tawala na serikali yake wasipofanya vyema.
lakini upinzani wa kwetu una walakini kidogo wao ni kupinga kila kitu na siyo kukosoa na kutoa ushauri na kujenga vyama vyao
 
Pili uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu ni vielelezo tosha,vile vile wale wabunge wa viti maalum ambao inasemekana ni wabunge waliotokana na Chadema na chadema kupitia kikao halali na nyaraka halali kiliwafuta uanachama,lakini serikali ya ccm ikatumia nguvu kuwalinda kuwa ni wabunge wa chadema,ina maana chadema kama chama halali hawana maamuzi yao mpaka yaingiliwe na ccm?
Au kwa vile chadema hawana dola ndiyo maana ccm inatumia mwanya huo kuvuruga mambo makusudi ambayo ni jinai hapo baadaye?Unapowashambulia chadema uwashambulie kwa sababu za msingi na sio ushabiki na dharau ambazo baadaye zitakuja kuumiza baadhi ya watu,weka kumbukumbu.

swali ulilielewa lakini?
 
Back
Top Bottom