zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Si polepole alidai CCM Ina master plan hadi 2075!! Hahahha kumbe mlikua mnaongea uongo tu!!!Afeli mara mara ngapi? Au unamaanisha ya kuanguka na kudanji?
Kelele nyingi sijui TISS hawawezi achia nchi kwa kina Lissu kisa wanatumika na mabeberu.
Cha kuchekesha na nyie mnalia lia kuwa Samia sio mzalendo na kwamba anatumika na mabeberu 🤣🤣🤣.
2025 kazi mnayo