Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kweliHiyo pitch ya hospital ifute ni kumzaririsha marehemu
Anadhalilishwaje labda ?Hiyo pitch ya hospital ifute ni kumzaririsha marehemu
Apumzike kwa amani
View attachment 1698315View attachment 1698316View attachment 1698317
Lakini kwa vile kufanya kazi ya Chadema ni sawa na kutenda kazi ya Mungu , tunaamini Mwenyezi Mungu ataipokea roho yake mahali pema peponi , Amina .
mkuu shida yako nini ?chadema kumejaa ujinga
Kwakuwa huelewi basi ngoja waje wakushaurianadhalilishwaje labda ?
Wee nawe.Huyo mwanaume naona hamwangalii mgonjwa usoni mimacho kakodelea eneo la katikati ya mapaja tu ya mgonjwa
Naunga mkono hoja,Hiyo pitch ya hospital ifute ni kumzaririsha marehemu