wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sawa ila umewaza tofauti sana poleKesho zamu ya dada yako , nakuomba uandike hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila umewaza tofauti sana poleKesho zamu ya dada yako , nakuomba uandike hivyo
Unamawazo ya kishetani wewekumpiga picha hivyo kama kapanua miguu akiwa kama anasubiri mwanaume ampande juu nini hicho ? hapo ni hospitali au guest house ? picha ya kidhalilishaji hiyo itoe
Ndio shetani mwenyewe huyo.Unamawazo ya kishetani wewe
mkuu shida yako nini ?
Unaona akili yako ilivyo ya kitoto sawa na ya panzi au pimbi.Hujaombwa ufafanue au uelezee insha ya picha.Tafsiri ya hiyo picha unapewa taarifa rasmi hali halisi za hosipitali zetu zilivyo.Na ugonjwa unaoendelea kwa sababu wewe unajaribu kutupotosha kwa kutueleza mambo ya kijinga na kuthubutu kuandika hivyo na wewe utaandikwa tena ndugu zako hawataamini macho yao.Wee subiri tu.Ni tahadhari unapewa.1.Angalia mazingara ya hosipitali,angalia kitanda,angalia shuka na vitu vingine ujue tunakoelekea sivyo.Nadhani wakati wako utakuwa umetandikiwa ngozi ya mbuzi kwenye kitanda cha spring.Hiyo ni tahadhari kuwa "WANATUDANGANYA KUWA JAMAA HAYUPO NCHINI,MWENYE MACHO HAPA ANAAMBIWA TAZAMA AU ONA.Fikiria kabla hujaandika mjinga wewe.kumpiga picha hivyo kama kapanua miguu akiwa kama anasubiri mwanaume ampande juu nini hicho ? hapo ni hospitali au guest house ? picha ya kidhalilishaji hiyo itoe
Jipe moyo.Tembea pekupeku kila mahali.Umesikia ee usiache.Endelea kuwasikiliza hao wajinga wenzako.Hakuna atakayeangaika na familia yako itakayobaki.Pumzika kwa amani.Umepigania vizuri kutafuta haki na demokrasia kwa Watanzania.Tutaienzi juhudi yako.RIPSiyo kila anayewekewa ventilation ana corona.
Ndivyo walivyo.Na uwaelewe hivyo.Kila mahali.Hata hapa kwetu yupo mmoja.Yaani ukisikia mawazo yake.Utaona aibu huyu mtu ametokea wapi.Ni pumba tupu.hivi kwanini wanaccm wanawaza ngono tu , tena style ya kishamba ya kifo cha mende ?
Hawo ndo mizigo kwa taifaCHADEMA kumejaa ujinga
Kwenye hilo jina ulilomshauri atoe “i” aweke “u”Badili hiyo ID badala ya kujiita kilama kuanzia sasa hivi uanze kujiita Kima!
Msamehe bure manake na sisi hatujui miisho yetu itakuwaje!?Unaona akili yako ilivyo ya kitoto sawa na ya panzi au pimbi.Hujaombwa ufafanue au uelezee insha ya picha.Tafsiri ya hiyo picha unapewa taarifa rasmi hali halisi za hosipitali zetu zilivyo.Na ugonjwa unaoendelea kwa sababu wewe unajaribu kutupotosha kwa kutueleza mambo ya kijinga na kuthubutu kuandika hivyo na wewe utaandikwa tena ndugu zako hawataamini macho yao.Wee subiri tu.Ni tahadhari unapewa.1.Angalia mazingara ya hosipitali,angalia kitanda,angalia shuka na vitu vingine ujue tunakoelekea sivyo.Nadhani wakati wako utakuwa umetandikiwa ngozi ya mbuzi kwenye kitanda cha spring.Hiyo ni tahadhari kuwa "WANATUDANGANYA KUWA JAMAA HAYUPO NCHINI,MWENYE MACHO HAPA ANAAMBIWA TAZAMA AU ONA.Fikiria kabla hujaandika mjinga wewe.
Msamehe bure manake na sisi hatujui miisho yetu itakuwaje!?
tuna viburi na kejeli kwasababu tunapumua.
Na wanachamaPoleni ndugu , Jamaa na Marafiki.
Picha ya hospitali iko wapi?Hiyo picha ya hospital ifute ni kumzaririsha marehemu
Tafadhali mpe heshima stahiki marehemu. Siyo kila kitu unaweka siasa zako za maji taka. Please be mature. Mungu ampe pumziko la amani dada Tully aliyelala.Apumzike kwa amani
View attachment 1698315View attachment 1698316
Lakini kwa vile kufanya kazi ya Chadema ni sawa na kutenda kazi ya Mungu , tunaamini Mwenyezi Mungu ataipokea roho yake mahali pema peponi , Amina .