TANZIA CHADEMA yapata pigo Dodoma, Kamanda Tully Nassa Kiwanga afariki dunia

TANZIA CHADEMA yapata pigo Dodoma, Kamanda Tully Nassa Kiwanga afariki dunia

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Corona ni tatizo kubwa.
Siyo kila anayewekewa ventilation ana corona.
 
Apumzike kwa amani

View attachment 1698315View attachment 1698316f

Lakini kwa vile kufanya kazi ya Chadema ni sawa na kutenda kazi ya Mungu , tunaamini Mwenyezi Mungu ataipokea roho yake mahali pema peponi , Amina .

Blessed are You, Lord, our God, King of the universe, the Judge of Truth.

ברוך אתה ה' אלוהינו מלך העולם, דיין האמת

Barukh atah Adonai Eloheinu melekh ha'olam, dayan ha-emet.

Mungu Baba wa Mbinguni akuweke miongoni mwa wateule wake wa Sayuni. Naye akufanye katika wale watakaofurahi mbele ya uso wako wakikusifu na kukutumikia Milele na Milele Amina.



.
 
kumpiga picha hivyo kama kapanua miguu akiwa kama anasubiri mwanaume ampande juu nini hicho ? hapo ni hospitali au guest house ? picha ya kidhalilishaji hiyo itoe
hivi kwanini wanaccm wanawaza ngono tu , tena style ya kishamba ya kifo cha mende ?
 
Apumzike kwa amani

View attachment 1698315View attachment 1698316f

Lakini kwa vile kufanya kazi ya Chadema ni sawa na kutenda kazi ya Mungu , tunaamini Mwenyezi Mungu ataipokea roho yake mahali pema peponi , Amina .


Apumzike kwa amani marehemu.

Imeandikwa, "ni heri wafao katika bwana."

Ni heri wafao wakipambana na ibilisi na vibaraka wake.

Ni heri wafao wakipaza sauti dhidi ya ugonjwa huu kwa maana hawakupoteza muda wao bure.

Apumzike kwa amani mja huyu.

Ama kwa hakika wasiokuwa na utu wala kuthamini maisha ya watu wengine hawawezi kukwepa kuwajibika moja kwa kwa vifo kama hivi.
 
Back
Top Bottom