LGE2024 CHADEMA "yapata ushindi mkubwa" Serikali za mitaa

LGE2024 CHADEMA "yapata ushindi mkubwa" Serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Chadema wangojee kuangukia pua eti wana hoja na wanakubalika na wananchi.? CCM bado inakubalika hata kama ni sababu ya historia yake kua chama cha kutetea wanyonge. Kipindi cha Magufuli ccm ilirejesha matumaini ya umma. Kwa sasa chini ya samia wananchi bado hawaiamini. Licha ya hivyo umma wa watanzania hawana imani na chadema kwa kua inafuata itikadi ya uliberali na kimeonyesha kutumikia maslahi ya nchi za magharibi ya kibepari. Chaguo lao ni kubaki na ccm huku wakifanya upinzani wa ndani kwa ndani ili kuweka viongozi wanaoendana na itikadi ya chama hicho ya haki na usawa kijamii na kiuchumi na kutanguliza maslahi ya umma wa wananchi mbele.
tunza hoja yako kesho sio mbali
 
Bora kufilisika kifikra lakini unajitambua kuliko wewe chawa wa kijani
Unashabikia watu kugombqna na kuwaita watu vibaraka. Nawewe ni nani sasa!
Kama mimi nimefilisika kimawazo wewe umefilisika nn?
Unataka mawazo na fikra mpya huku unashabikia chama kilichofilisika kifkra au hujui kwamba CHAMA CHA MANGURUWE NDICHO KINAFILISI NCHI HII KWA UFISADI?
wewe unadai you need vibrant opposition parts wakati vilivyopo unataka vile?
Ukweli usemwe gentleman,

vibaraka wa mambwenyenye ya Magharibi na mercenaries wao hawawezi kwa namna yoyote ile kuvuruga umoja, amani, utulivu na mshikamano miongni mwa waTanzania. hiyo haiwezekani kabisa gentleman...

United and Vibrant Opposition ni product ya visionary leaders. And opposition in Tanzania lacks that.

opposition ya kulalamikia tu na kuandamana without addressing the issues and coming up with alternative plans ni makelele tu. Hiyo ni nonsense opposition gentleman 🐒
 
Ukweli usemwe gentleman,

vibaraka wa mambwenyenye ya Magharibi na mercenaries wao hawawezi kwa namna yoyote ile kuvuruga umoja, amani, utulivu na mshikamano miongni mwa waTanzania. hiyo haiwezekani kabisa gentleman...
Hizi ni propaganda uchwara. Yaani wavuruga amani ndiyo wao Kila siku wanaotekwa😀😆😃

Sema CHADEMA wanavurugaje amani.
 
Hizi ni propaganda uchwara. Yaani wavuruga amani ndiyo wao Kila siku wanaotekwa😀😆😃

Sema CHADEMA wanavurugaje amani.
Gentleman,
give me a break, cozi nikieleza Ukweli kuhusu Chadema nitazungumza kwa kirefu sana...

Ila itoshe tu kusema,
there is no room or escape roots puppets and mercenaries to interfere peace, unit and stability among Tanzanians.

Infact,
migawanyiko, mvurugano ndani ya chadema isipodhibitiwa sasa, inaweza kua na athari kubwa zaidi mpaka kwenye uhai wa watu hapo mbeleni, lakin atasingiziwa asie husika 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hakika umepoteza matumaini!
Kabisa. Yaani nimepoteza matumaini kabisa kuwa chini ya utawala wa CCM iko siku hii nchi ufisadi utakwisha.

Nimepoteza matumaini kabisa kuwa kuna siku tutakuwa na mipango thabiti ya kukifanya kilimo kweli kiwe uti wa mgongo wa Taifa letu hili.

Nimepoteza matumaini kabisa kama ndani ya CCM kuna hata mwana CCM mmoja mwenye uchungu wa rasirimali za Taifa hili.

Sina hata chembe ya matumaini kuwa CCM wanajali Elimu ya Umma na ndiyo maana watoto wao wanawasomesha kwenye shule binafsi.

Sina matumaini kama chini ya CCM kutakuwa na mpango wowote wa kuboresha mifumo ya ajira hapa Tanzania.

Matumai yangu hayapo tena kuwa iko siku Tanzania tutakuwa na nguvu kama ile ya zamani kwenye medani za siasa za kimataifa.

Kila nikiangalia kuwa nchi yetu inaongozwa na CCM. Matumaini yangu yanazidi kupotea.
 
Gentleman,
give me a break, cozi nikieleza Ukweli kuhusu Chadema nitazungumza kwa kirefu sana...
Hayo makorokoro ya "Give me a break" achana nayo. Wewe elezea ni kwa jinsi gani CHADEMA inavuruga amani ya nchi hii!?
 
Ushindi mkubwa mtaupata sku freeman mbowe akiachia madaraka,
Hii nguvu unayotumia kupiga polojo za uongo ingetumika kumuondoa mbowe chadema ungeonekana wa maana sana.

Kila sku chadema kimekua chama cha kulalamika na kusononeka wakat shetani wanakaa nalo ndani.
Toa mbowe weka heche
 
CHADEMA iliingia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu 2024 ikiwa na malengo mawili.

Kwanza CHADEMA walikusudia kuonesha kwamba kwa kutumia mfumo huu wa uchaguzi unaopendelewa na CCM, uchaguzi hautakuwa huru wala wa haki.

Jambo la pili ambalo CHADEMA walikusudia kuonesha ni kwamba CHADEMA Ina ushawishi mkubwa sana kwa wananchi kuliko CCM.

Kwenye mambo yote mawili CHADEMA wamefanikiwa.

Kitendo cha wagombea wao kuenguliwa kinyume cha kanuni za uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024,zilizotungwa na CCM wenyewe, kinaonesha kuwa hoja ya CHADEMA kwamba Wakurugenzi wa Halmashauri za miji hawafai kusimamia uchaguzi huo na mwigine wowote ule, hoja yao hiyo kuwa ina mashiko.

Kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA bila ya sababu za msingi, kunaimarisha hoja ya CHADEMA kuwa CCM inategemea nguvu ya vyombo vya dola kuendesha siasa zake.

Lakini ukiangalia nguvu wanayotumia CCM kufanya Kampeni zao, unagundua kuwa hawakubaliki kwa wananchi ila wanalazimisha kukubalika.

Lakini kwa upande wa pili CHADEMA Kampeni zao zina muamko mkubwa sana na hoja zao zinaonekana kuvutia hisia za watanzania wengi.

Bahati mbaya sana CCM watafanya kile walichofanya mwaka 2019, watajitangaza washindi.

Kiujumla CHADEMA imepata ushindi mkubwa sana kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024.
Sasa Chadema wafanye nini kuondoa huo uonevu wanaofanyiwa na Dola.
 
CHADEMA iliingia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu 2024 ikiwa na malengo mawili.

Kwanza CHADEMA walikusudia kuonesha kwamba kwa kutumia mfumo huu wa uchaguzi unaopendelewa na CCM, uchaguzi hautakuwa huru wala wa haki.

Jambo la pili ambalo CHADEMA walikusudia kuonesha ni kwamba CHADEMA Ina ushawishi mkubwa sana kwa wananchi kuliko CCM.

Kwenye mambo yote mawili CHADEMA wamefanikiwa.

Kitendo cha wagombea wao kuenguliwa kinyume cha kanuni za uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024,zilizotungwa na CCM wenyewe, kinaonesha kuwa hoja ya CHADEMA kwamba Wakurugenzi wa Halmashauri za miji hawafai kusimamia uchaguzi huo na mwigine wowote ule, hoja yao hiyo kuwa ina mashiko.

Kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA bila ya sababu za msingi, kunaimarisha hoja ya CHADEMA kuwa CCM inategemea nguvu ya vyombo vya dola kuendesha siasa zake.

Lakini ukiangalia nguvu wanayotumia CCM kufanya Kampeni zao, unagundua kuwa hawakubaliki kwa wananchi ila wanalazimisha kukubalika.

Lakini kwa upande wa pili CHADEMA Kampeni zao zina muamko mkubwa sana na hoja zao zinaonekana kuvutia hisia za watanzania wengi.

Bahati mbaya sana CCM watafanya kile walichofanya mwaka 2019, watajitangaza washindi.

Kiujumla CHADEMA imepata ushindi mkubwa sana kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024.
Mkuu rudi kwa mganga ukamalizie tiba yako
 
Ushindi mkubwa mtaupata sku freeman mbowe akiachia madaraka,
Hii nguvu unayotumia kupiga polojo za uongo ingetumika kumuondoa mbowe chadema ungeonekana wa maana sana.

Kila sku chadema kimekua chama cha kulalamika na kusononeka wakat shetani wanakaa nalo ndani.
Toa mbowe weka heche
Kwa nini Heche na siyo mwingine yeyote yule. Kama wewe ulivyo na Imani na Heche vivyo hivyo wapo pia ambao bado wana Imani na Mbowe.
 
CHADEMA iliingia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu 2024 ikiwa na malengo mawili.

Kwanza CHADEMA walikusudia kuonesha kwamba kwa kutumia mfumo huu wa uchaguzi unaopendelewa na CCM, uchaguzi hautakuwa huru wala wa haki.

Jambo la pili ambalo CHADEMA walikusudia kuonesha ni kwamba CHADEMA Ina ushawishi mkubwa sana kwa wananchi kuliko CCM.

Kwenye mambo yote mawili CHADEMA wamefanikiwa.

Kitendo cha wagombea wao kuenguliwa kinyume cha kanuni za uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024,zilizotungwa na CCM wenyewe, kinaonesha kuwa hoja ya CHADEMA kwamba Wakurugenzi wa Halmashauri za miji hawafai kusimamia uchaguzi huo na mwigine wowote ule, hoja yao hiyo kuwa ina mashiko.

Kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA bila ya sababu za msingi, kunaimarisha hoja ya CHADEMA kuwa CCM inategemea nguvu ya vyombo vya dola kuendesha siasa zake.

Lakini ukiangalia nguvu wanayotumia CCM kufanya Kampeni zao, unagundua kuwa hawakubaliki kwa wananchi ila wanalazimisha kukubalika.

Lakini kwa upande wa pili CHADEMA Kampeni zao zina muamko mkubwa sana na hoja zao zinaonekana kuvutia hisia za watanzania wengi.

Bahati mbaya sana CCM watafanya kile walichofanya mwaka 2019, watajitangaza washindi.

Kiujumla CHADEMA imepata ushindi mkubwa sana kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024.
Nakubaliana na hoja zako.Lakini,nadhani viongozi ambao ni wasaidizi wa Mama Samia wanataka kumharibia Yeye binafsi ili mwakani wajenge hoja kuwa hafai.
 
Back
Top Bottom