Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimbo gani jingine CHADEMA wanaongoza?Ok poa ila wanaweza kutuachia hata haya majimbo mawili,ni majimbo mawili tunaongoza ingawa moja ndo confirmed tuko juu zaidi
washukuru Mungu Pinda yuko Dodoma analobby kurudishwa u-PM. Angekuwa mpanda angeingiza masanduku kama alivyofanya sumbawanga mjini.
Tangu CDM imeanzishwa haijawahi kuhusishwa na udini. Tatizo ni viongozi wa kikristu walipoamua kumpa sapoti Padri mwenzao kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Ukisema viongozi wa kikristo unajumuisha wakristo wote ni bora ungekuwa speciffic ni viongozi wapi?
Kwa mifano, michache tu Mikoa mingi yenye wakristo wengi ilimpa kura Kikwete badala ya Dr Slaa na baadhi ya maeneo kama Mpanda mjini na bukoba mjini Waislamu wapepata kura nyingi za wakristo na waislamu. Tusipandikize udini kwa manufaa yetu.
ila watu waliojitokeza ni wachache sana, wengi waliojitokeza ni vijana. Wakina mama wao hawakuwa wengi
Tangu CDM imeanzishwa haijawahi kuhusishwa na udini. Tatizo ni viongozi wa kikristu walipoamua kumpa sapoti Padri mwenzao kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Katika jimbo la Mpanda Mjini wanaowania nafasi ya ubunge ni Said Arfi wa Chadema anayetetea nafasi hiyo kwa muhula mwingine, Sebastian kapufi wa CCM na Ndimumenya Ezekye wa CUF ambaye hajawahi kuhutubia mikutano yoyote ile kampeni kwa kile anachodai kuwa anfahamika sana kuliko mgombea yeyote.