CHADEMA yasema Haitashiriki kwenye Chaguzi Ndogo za Madiwani katika Kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi

CHADEMA yasema Haitashiriki kwenye Chaguzi Ndogo za Madiwani katika Kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Jopo la mawakili wasomi aliloongoza wakili mkuu wa Serikali lililopigwa mweleka na kugaragazwa mbele ya Mahakama ya Afrika ni kama ifuatavyo:

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Represented by:

i. Dr Boniface Nalija LUHENDE, Solicitor General, Office of the Solicitor General;

ii. Ms Sarah Duncan MWAIPOPO, Deputy Solicitor General, Office of the
Solicitor General;

iii. Mr Vincent E. A. TANGOH, Director, Civil Litigation, Office of the Solicitor
General;

iv. Ms Alesia A MBUYA, Assistant Director, Constitutional, Human Rights and Election Petitions, Principal State Attorney, Office of the Solicitor General;

v. Daniel NYAKIHA, State Attorney, Office of the Solicitor General;

vi. Vivian METHOD, State Attorney, Office of the Solicitor General;

vii. Ms Caroline Kitana CHIPETA, Acting Director, Legal Affairs, Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation; and

viii. Ms Blandina KASAGAMA, Legal Officer, Ministry of Foreign Affairs and East
African Cooperation

Sasa serikali isisubiri kusukumwa kukazia hukumu hii kabla ya 2025


13 June 2023
Arusha, Tanzania

Application 011/2020 - Bob Chacha Wangwe and Legal and Human Rights Centre vs United Republic of Tanzania​


II. SUBJECT OF THE APPLICATION
A. Facts of the Matter
3. The Applicants challenge the provisions of the National Elections Act and they
claim that the Respondent State, by enacting and implementing the impugned
provisions, violated numerous rights including the right to equality before the law ; the citizen’s right to participate freely in the government of his country,
either directly or through freely chosen representative, the right to vote and be
elected at genuine periodic election and the right to equal access to public.

B. Alleged violations
4. The Applicants allege that the Respondent State has violated fundamental rights
guaranteed in article(s) 1, 13 (1), 21 (1) and (3); 25 (2) & 26; 21 (1) & 21 (2). 74(14) of the Charter, the Universal Declaration of Human Rights, 1948 (hereinafterreferred to as “the UDHR), International Covenant on Civil and Political Rights, 1966 (hereinafter referred to as “the ICCPR) and the Constitution of the United
Republic of Tanzania, respectively.

JUDGEMENT:

The Applicants alleged that the Respondent State had violated their right to participate in the government of their country contrary to Article 13(1) of the Charter and also their right to equality before the law and to equal protection of the law contrary to Article 3 of the Charter.

The Applicants submitted that section 6(1) of the NEA violated the Charter because the Director of Elections is appointed by the President who is the Chairperson of the ruling party and also among the contestants in elections. This manner of appointing the Director of Elections, the Applicants contended, raised questions of impartiality and independence of the
Electoral Commission.

The Applicants also submitted that section 6(1) “lacks the criteria for
the appointment of the Director of Elections and thus, makes it wide, broad and vague, and
subject to abuse
”.

The Court noted that at the core of the Applicants’ grievances, in respect of the appointment of the Director of Elections, was the question of the independence and impartiality of the office.

In line with its jurisprudence, the Court pointed out that States have latitude in terms of configuring their electoral management bodies while bearing in mind the overriding responsibility of establishing an institution that is independent and impartial.

Having considered the Parties’ arguments, and given the various methods for constituting electoral management bodies in use in Africa, the Court held that there is no violation of Article
13(1) of the Charter by the mere reason that the Director of Elections is appointed by the
President. It also held that Article 13(1) of the Charter is not violated simply on the basis that the President makes the appointment of the Director of Elections following recommendation (s) by the Electoral Commission.

In respect of the Applicants’ allegation that section 6(1) of the NEA “lacks the criteria for the appointment of the Director of Elections and thus, makes it wide, broad and vague, and subject
to abuse”, the Court observed that, indeed, section 6(1) did not set out any qualifications that
an appointee for the position must possess in order to qualify for appointment.


The Court thus found it anomalous that the Respondent State’s laws contain no provisions
stipulating the qualifications that one must possess to be appointed a Director of Elections.

The Court held, therefore, that in relation to the head of the Electoral Commission’s secretariat, it behoved the Respondent State to appoint individuals of the highest calibre who can independently, impartially and transparently coordinate the management of the electoral process. However, without a clearly laid out qualifications scheme, the considerations that the
appointing authority may take into mind when appointing a Director of Elections were unclear.

The Court found that this exposed the process not only to uncertainty but also the possible consideration of irrelevant factors.

Given the violations of the Charter that the Court had established, it also found a violation of Article 1 of the Charter.

On reparations, the Court reiterated its established jurisprudence that for reparations to be granted, the Respondent State should, first, be internationally responsible for the wrongful act.

Second, causation should be established between the wrongful act and the alleged prejudice. Furthermore, and where it is granted, reparation should cover the full prejudice suffered.
Finally, the Applicant bears the onus to justify the claims made.

The Court having found that sections 6(1), 7(2) and 7(3) of the NEA, in part, violate Article 13(1) of the Charter, ordered the Respondent State to take all necessary constitutional and
legislative measures, within a reasonable time and without any undue delay, to ensure that these provisions are amended and aligned with the provisions of the Charter so as to eliminate
the violations of Article 13(1) of the Charter asestablished.

The Court also noted that the violations that it had established raised critical matters of public concern and specifically in relation to the management of electoral processes within the Respondent State. In the circumstances, the Court deemed it proper to make an order suo motu for publication of this Judgment.

The Court, therefore, ordered the Respondent State to publish this Judgment within a period of three (3) months from the date of notification, on the
websites of the Judiciary and the Ministry for Constitutional and Legal Affairs, and to ensure that the text of the Judgment remains accessible for at least one (1) year after the date of
publication.

On implementation of decisions, the Court reiterated that this is required as a matter of judicial
practice. The Court, therefore, ordered the Respondent State to submit to it within twelve (12)
months from the date of notification of this Judgment, a report on the status of implementation
of the decision set forth herein and thereafter, every six (6) months until the Court considered
that there has been full implementation thereof.
Each Party was ordered to bear its own costs.
Justice Rafaâ BEN ACHOUR issued a Dissenting Opinion.
Further Information
Further information about this case, including the full text of the decision of the African Court,
may be found on the website at: African Court Cases | Details of a case
For any other queries, please contact the Registry by email registrar@african-court.or

READ MORE :

Source : African Court Cases | Details of a case

The Respondent State argues that
“The right to participate in the conduct of business is not absolute, insofar
as it may be legitimately restricted by law”. Relying on Article 27(2) of the
Charter and the decision of the Court in Tanganyika Law Society and
Legal and Human Rights Centre, Reverend Christopher Mtikila v.
Tanzania, the Respondent State argues that “the restrictions on persons
eligible for appointment to the position of Director of Elections are
reasonable and justifiable. The appointment of a civil servant to the
position of Director of Elections is in the public interest, as it is easy to
verify his or her ethical, professional and academic background, since the
public service is governed by a well-established legal framework”.
5. The Respondent State’s reasoning found favour with the majority of the Court,
which found that
“Section 6(1) of the NEA is not in violation of the Charter insofar as it
restricts the appointment of the Director of Elections only to candidates
from the public service”.
2
6. It is this finding, and the reasoning behind it, that I disagree with. Indeed, I believe
that reserving the position of Director of Elections only to public servants openly
violates the principle of equality of all before the law.
3
It is exclusive and
discriminatory and cannot be justified on any objective basis.
2§ 93 of the Judgement.
3Principle proclaimed by Article 7 of the Universal Declaration of Human Rights of 10 December
1948: “All are equal before the law and are entitled without any discrimination to equal protection of the
law. All are entitled to equal protection against any discrimination in violation of this Declaration and
against any incitement to such discrimination”, and reiterated in Article 26 of the International Covenant.

The Court composed of: Blaise TCHIKAYA, Vice-President; Ben KIOKO, Rafaâ BEN
ACHOUR, Suzanne MENGUE, Tujilane R. CHIZUMILA, Chafika BENSAOULA, Stella
I. ANUKAM, Dumisa B. NTSEBEZA, Modibo SACKO, Dennis D ADJEI – Judges; and
Robert ENO, Registrar.
In accordance with Article 22 of the Protocol to the African Charter on Human and
Peoples’ Rights on the Establishment of an African Court on Human and Peoples’ Rights (hereinafter referred to as “the Protocol”) and Rule 9(2) of the Rules of Court (hereinafter referred to as “the Rules”),1 Justice Imani D. ABOUD, President of the Court and a national of Tanzania, did not hear the Application.

In the Matter of:
Bob Chacha WANGWE and Legal and Human Rights Centre

Represented by:

i. Advocate Jebra KAMBOLE, Law Guards Advocates;

ii. Advocate Fulgence MASSAWE, Legal and Human Rights Centre; and

iii. Advocate Amani JOACHIM, Legal and Human Rights Centre.

Versus

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Represented by:

i. Dr Boniface Nalija LUHENDE, Solicitor General, Office of the Solicitor General;

ii. Ms Sarah Duncan MWAIPOPO, Deputy Solicitor General, Office of the
Solicitor General;

iii. Mr Vincent E. A. TANGOH, Director, Civil Litigation, Office of the Solicitor
General;

iv. Ms Alesia A MBUYA, Assistant Director, Constitutional, Human Rights and
Election Petitions, Principal State Attorney, Office of the Solicitor General;

v. Daniel NYAKIHA, State Attorney, Office of the Solicitor General;

vi. Vivian METHOD, State Attorney, Office of the Solicitor General;

vii. Ms Caroline Kitana CHIPETA, Acting Director, Legal Affairs, Ministry of
Foreign Affairs and East African Cooperation; and

viii. Ms Blandina KASAGAMA, Legal Officer, Ministry of Foreign Affairs and East
African Cooperation.
 
Tatizo lao wanadeka sana. Unaweza kudhani wao ndio chama pekee cha upinzani.
Hivi mbowe ni mtoto wa ngapi kwao kuzaliwa? Kwa mujibu wa wanasaikolojia kuna uhusiano mkubwa sana kati ya uzaliwa wa mtu na tabia zake!

Hapo baadae wataanza kulalamikia viongozi waliochaguliwa!
 
Endeleeni kususia, mtakumbuka mmebaki wenyewe.

Mwakani mkisusia wengine wanapita na mtabaki kulaumu tu
 
Binafsi huamini kuwa unaweza pigania haki yako ukiwa ndani kuliko ukiwa nje
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema, hawatashiriki kwenye chaguzi ndogo za madiwani katika kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzii hii leo Jumatano Juni 14, 2023.
View attachment 2657416
View attachment 2657418


Haitopunguza anything wala kuongeza anything

Uchaguzi utafanyika na mambo yataendelea

Watu ambao wanateseka ni wanachama wao, because hao wakina mbowe hawana ishu na hivyo vyeo vya udiwani

Wao kila siku wako nje ya inchi wanaenjoy

Sasa hawa wanachama ambao wao Wana qualification zote za kugombea ndio wanaumizwa
 
Mkuu,kitendo cha serikali kuitisha uchaguzi ambao utasimamiwa na kuamuliwa na watu ambao mahakama mbili tayari zimewataja kuwa batili ni kigezo tosha cha kuufanya uchaguzi wenyewe kuwa batili, na kushiriki uchaguzi huo ni kitendo cha kuunga mkono ubatili,mbona rahisi tu?
Nawapongeza CHADEMA Kwa hilo
 
Mbowe na Lisu wamelamba billion 2.9 za ruzuku kimyakimya alafu wanawazuia wenzao fursa ya kugombea?

Ni nyumbu tu atakayekubali huu ubinafsi.


Wamelamba, na aliyewapa hizo 2.8bn ni muasisi wa Chadema, wamezitumia halafu wewe ndo umetoa hela ya mikutano na kuendesha chama
 
Masharti ya Mahakama ya Afrika ambayo Tanzania inatakiwa kuyatekeleza kwa vitendo ni :



the Court deemed it proper to make an order suo motu for publication of this Judgment.

The Court, therefore, ordered the Respondent State to publish this Judgment within a period of three (3) months from the date of notification, on the
websites of the Judiciary and the Ministry for Constitutional and Legal Affairs, and to ensure that the text of the Judgment remains accessible for at least one (1) year after the date of
publication.

On implementation of decisions, the Court reiterated that this is required as a matter of judicial
practice. The Court, therefore, ordered the Respondent State to submit to it within twelve (12)
months from the date of notification of this Judgment, a report on the status of implementation
of the decision set forth herein and thereafter, every six (6) months until the Court considered
that there has been full implementation thereof.
Serikali ya CCM haiwezi kuifanyia kazi hiyo hukumu,kwanin itakiwa ni sawa na kujipiga risasi mguuni
 
Endeleeni kususia, mtakumbuka mmebaki wenyewe.

Mwakani mkisusia wengine wanapita na mtabaki kulaumu tu
Ni bora tubaki wenyewe kuliko kushiriki huo uhayawani. Shindeni goli liko wazi maana imedhihirika pasi na shaka, kuwa CCM hamna uwezo tena wa kushinda kwenye uchaguzi wa halali zaidi ya kupora kura.

Na ukitaka kujua wananchi wamepuuza huo ukhanithi uitwao uchaguzi, subiri uone idadi ya wapiga itakavyokuwa ndogo. Na hii sio kwa hizi chaguzi ndogo tu, bali hata ule mkuu, iwapo cdm watasusia hakuna uwezekano wapiga kura kufika 5m, sana sana mtaishia kupika idadi ya wapiga kura ili kujihadaa wenyewe.
 
Ni bora tubaki wenyewe kuliko kushiriki huo uhayawani. Shindeni goli liko wazi maana imedhihirika pasi na shaka, kuwa CCM hamna uwezo tena wa kushinda kwenye uchaguzi wa halali zaidi ya kupora kura.

Na ukitaka kujua wananchi wamepuuza huo ukhanithi uitwao uchaguzi, subiri uone idadi ya wapiga itakavyokuwa ndogo. Na hii sio kwa hizi chaguzi ndogo tu, bali hata ule mkuu, iwapo cdm watasusia hakuna uwezekano wapiga kura kufika 5m, sana sana mtaishia kupika idadi ya wapiga kura ili kujihadaa wenyewe.
Haya tutaona mwisho wenu.
Mi chaguzi 4 nimesapoti Chadema na nitaendelea sapoti kwa kupiga kura ila kuna mambo ya kishamba mnafanya.

Hakuna mwananchi ataandamana kwa sababu yenu.

Mwenyekiti ndo kalivuruga kabisa huko
 
Tatizo lao wanadeka sana. Unaweza kudhani wao ndio chama pekee cha upinzani.
Hivi mbowe ni mtoto wa ngapi kwao kuzaliwa? Kwa mujibu wa wanasaikolojia kuna uhusiani mkubwa sana kati ya uzaliwa wa mtu na tabia zake!

Hapo baadae wataanza kulalamikia viongozi waliochaguliwa!

Ni hivi, ni ujinga kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi eti tu ili kuonekana hudeki. Kama ni kushiriki cdm wameshashiriki sana, lakini kinachoendelea ni kupotezeana muda kwani hilo box la kura haliheshimiwi.

Vyama viko vingi sana hilo ni kweli ila ni kwa majina, na kama huamini ngoja cdm wameshatangaza kususia uone kama hivyo vyama vingine vya upinzani vitafanya kampeni, au kutoa ushindani wowote wa maana.
 
Haya tutaona mwisho wenu.
Mi chaguzi 4 nimesapoti Chadema na nitaendelea sapoti kwa kupiga kura ila kuna mambo ya kishamba mnafanya.

Hakuna mwananchi ataandamana kwa sababu yenu.

Mwenyekiti ndo kalivuruga kabisa huko
Cdm kama chama hakihitaji kura yako. Ni kweli wananchi hawawezi kuandamana kwa ajili ya CDM maana wataishia kuuwawa, au kupata vilema vya maisha. Lakini wananchi wengi hawatajitokeza pia kushiriki hizo chaguzi za kishenzi zisizo na mvuto. Subiri utaona mwitikio wa wapiga kura.
 
Back
Top Bottom