CHADEMA yasusia Uchaguzi Wabunge wa EALA

Kususa haijawahi kuwa suluhu... Vyama vingine vinashiriki.

Ina maana kubwa, huoni chaguzi ndogo zilivyokosa mvuto baada ya CHADEMA kujitoa?. Pia kususa kunakutenga na wanafiki wengine maana inaonesha unao msimamo.
 
Lissu ana roho mbaya sana, kwa kuwa yeye hana cheo chochote, anafanya juu chini na wenzake wakose, hata kesi ya akina mdee ni yeye ndio anashinikiza ili wakose ubunge, kwenye bunge la Afrika mashariki pia amezuia ili wakose wote

Mawazo yako. Kesi ipo mahakamani kwa sababu akina Halima Mdee ndio wamefungua sio CHADEMA. Chadema ilishamalizana nao.
 

Hayo ni mawazo yako. Chadema haichukui ruzuku mpaka leo. Nyie endeleeni kutozwa too na CCM maana ndio uwezo wenu umebakia Hapo. Mambo ya CHADEMA achananeni nayo. Endeleeni na CCM ya too.
 
Wanajua ngoma iliyo mbele yao maana wanaelewa kuwa wanaenda kuwa wasindikizaji hawa CHADOMO, wakithubutu kutia mguu hawapati hata kura ya kujipigia wenyewe, watakuta wanampigia mtu mwingine!

Hiyo nafasi ni ya CHADEMA, hivyo chadema itaweka wagombea wake halafu wabunge watachagua. Ila chadema imegoma kupeleka majina , hivyo nafasi hiyo inachukuliwa na cuf a ACT.
 

Aida kenani yupo kundi moja na kina Mdee. Alikataa kujitoa ubunge, chama kikamuacha maana kachaguliwa jimboni, ila akina Halima Mdee chama ndicho chenye mamlaka ya kuwateua, ndio maana kimewafukuza.

Halafu elewa kwamba kwa Sasa chadema Ina nafasi moja ya ubunge EALA, hivyo wataleta wagombea wawili ambao wabunge watamchagua mmoja wapo. Ila chadema imekataa hiyo nafasi, na hivyo CUF a ACT watachukua hiyo fursa.
 

Chadema Ina nafasi moja EALA maan ya proportion ya kura za ubunge. Lazima wapigiwe kura hawashindanishwi na CCM au chama kingine Bali wanshindanishwa wenyewe kwa wenyewe kupata mbunge mmoja.
 
Hivi maana ya kususa ni ipi hasa.Mnyika ametoa sababu.Sasa huko kususa kunaingiaje kwenye hoja hizo?Using'ang'anize mambo.Hawajateua wagombea kwa sababu zao.Basi.

Sababu zao zipi?. Mbona mnawalazimisha kuteua. Nakumbuka uchaguzi wa 2020 mliwafungia ofisi na kuwaengua wagombea ubunge wa Chadema zaidi ya hamsini. Leo mnajifanya kuwalazimsha wateue Kama mlivyowalaghai akina Mdee. Endeleeni na CCM ya too achaneni na chadema.
 
Nimechanganyikiwa.

Wamesusa kwa Sababu hawatambui nini?

Kwa mantiki hiyo hawata ingia kwenye vinyanganyiro vya Uchaguzi 2025??

Sielewi.
 
Mtu anayekwenda kinyume na maamuzi ya chama huwa anapuuzwa? Ni mtizamo wako though.

Aida kenani kawekwa na CCM, hivyo yupo pale kwa maslahi ya Ccm. Ndio maana baada ya kushindwa ubunge akaenda kushirikiana CCM , Wala Hana muda na CHADEMA. Wale wanaitumia chadema Kama shamba Wala sio wanachadema.
 
Hayo unayasema wewe!
Nyie endeleeni kususa mpaka mtakapojitambua itakuwa mmezeeka pia!

Bora kususia bunge la michongo linalopitisha tozo na kushindwa kuja na majibu ya kuzuia mfumuko wa Bei.
 
Nimechanganyikiwa.

Wamesusa kwa Sababu hawatambui nini?

Kwa mantiki hiyo hawata ingia kwenye vinyanganyiro vya Uchaguzi 2025??

Sielewi.

Usichanganyikiwe. Bado Kuna vyama vingi CUF ya Lipumba na ACT.
 
Sidhani kama ulisoma nilichoandika?
 
CHADEMA panahitajika Viongozi hawa tulio nao hawajielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…