Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa hii kabambe na ya Kusisimua imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kwenye Kongamana, Wanawake la Kidunia lilofanyika Kitaifa Mlimani City D'Salaam.
Jambo hili likifanyika litatengeneza rekodi ya Dunia kwa Rais wa Tanzania kuwa Kiongozi wa kwanza wa Ngazi ya Juu Duniani Kunyang'anywa Tuzo aliyopewa kwa makosa ya kupuuza Demokrasia, na itakuwa Fedheha kwake binafsi na kwa Chama Chake.
Habari Kamili hii hapa
Bali bado haijafahamika jambo hilo litatekelezwa lini na wala mbinu ambayo Chama hicho kitatumia kumnyang'anya Mh Rais Tuzo hiyo
Jambo hili likifanyika litatengeneza rekodi ya Dunia kwa Rais wa Tanzania kuwa Kiongozi wa kwanza wa Ngazi ya Juu Duniani Kunyang'anywa Tuzo aliyopewa kwa makosa ya kupuuza Demokrasia, na itakuwa Fedheha kwake binafsi na kwa Chama Chake.
Habari Kamili hii hapa
Bali bado haijafahamika jambo hilo litatekelezwa lini na wala mbinu ambayo Chama hicho kitatumia kumnyang'anya Mh Rais Tuzo hiyo