Pre GE2025 CHADEMA yatangaza kumnyang'anya Rais Samia Tuzo aliyopewa na BAWACHA

Pre GE2025 CHADEMA yatangaza kumnyang'anya Rais Samia Tuzo aliyopewa na BAWACHA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Duuh, hii kali kwelikweli....

Mimi kauli hii naitazama ktk engo nyingine kabisa....

Ninachokiona ni kuwa, huu uongozi mpya wa CHADEMA utakuwa umeona na kugundua mambo mengi na ya hovyo sana yaliyofanywa na uongozi wa Mwenyekiti aliyepita ndugu Freeman Mbowe na watu wake...

Nakumbuka, kuna wakati Tundu Lissu akihojiwa na chombo fulani cha habari nilimwona na kumsikia akijibu swali kuhusu mambo ya fedha za CHADEMA kwa kusema;

"....hali ya fedha ya chama ni mbaya sana, msiniulize nimeona na kukuta nini...."

Sasa tukiitafakari kauli hiyo☝🏻☝🏻 kuunganisha matukio haya pamoja na dhamira ya kumnyang'anya Samia Tuzo aliyopewa mwaka fulani na kina mama hawahawa wa CHADEMA chini ya Freeman Mbowe, naona wazi kuwa kuna siku tutafunuliwa na kuona uchafu mwingi ulioratibiwa na kufanyika chini ya uongozi wa Freeman Mbowe...

Na haya ndiyo madhara ya kung'ang'ania na kukaa kwenye uongozi wa taasisi ya umma kwa muda mrefu mpaka ufurushwe kwa kelele na marungu...

Na tutaelewa ni kwanini huyu jamaa (Freeman Mbowe) alikosa busara na hekima ya kuachia uongozi wa chama kwa hiari ili kulinda heshima yake pamoja na kupewa ushauri toka kila kona na watu wa heshima. Badala yake kwa kiburi na kashfa kwa waliojitokeza kugombea naye, akachagua njia ya mapambano...

Sasa atavuna alichopanda maana binafsi naona kila dalili kuwa yajayo kwake yatakuwa mengi ya kumshushia hadhi....

Na hiki ndicho kinachoisumbua CCM kukataa kuachia madaraka ya uongozi wa nchi kwa njia za kidemokrasia na kwa hiari badala yake wanaonesha kila dalili kuchagua njia ya mapambano ili walazimishwe kuondoka kwa nguvu....

Hii yote ni kwa sababu viongozi hawa wa CCM na serikali yao wamekaa madarakani kwa muda mrefu sana kiasi cha kudhani na kuamini kuwa nchi hii ni mali yao binafsi na wanaweza kufanya chochote na lolote kwa yeyote na kwa chochote...

Wanajidanganya sana maana watatoweka kama moto wa majani uwakavyo na ghafla huzima...!

Hawa CCM wameifanyia nchi hii na wananchi wa nchi hii kila aina ya uchafu na ujambazi usioelezeka. Wana hofu na woga kwamba, tukitoka sisi wakaingia wengine wasiotujua itakuwaje. Si tutaishia jela..?

Hakika, HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA. Mwisho wao upo, umefika na utawapata vilivyo. Mungu hadhihakiwi, watavuna walichopanda. Wamepanda uharibifu, watavuna matunda ya uharubifu na uovu wao...!!
 
Vitu vingine ni kuchochea chuki za kipumbavu
 
N marais wangapi hapa Tz au hata duniani wana tuzo kutoka upinzani? Kwahy hao ambao hawana kwahy hawana heshima?
Shuleni ulienda kumwagilia maua au kufagia tuu? Mbona mgumu kuelewa kiasi cha kutisha!
 
Taarifa hii kabambe na ya Kusisimua imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kwenye Kongamana, Wanawake la Kidunia lilofanyika Kitaifa Mlimani City D'Salaam.

Jambo hili likifanyika litatengeneza rekodi ya Dunia kwa Rais wa Tanzania kuwa Kiongozi wa kwanza wa Ngazi ya Juu Duniani Kunyang'anywa Tuzo aliyopewa kwa makosa ya kupuuza Demokrasia, na itakuwa Fedheha kwake binafsi na kwa Chama Chake.

Habari Kamili hii hapa

View attachment 3263998View attachment 3263999


Bali bado haijafahamika jambo hilo litatekelezwa lini na wala mbinu ambayo Chama hicho kitatumia kumnyang'anya Mh Rais Tuzo hiyo
Du chadema wataenda kuiba tuzo ikulu🤣🤣🤣 chadema waache comedy fanyeni siasa
 
Taarifa hii kabambe na ya Kusisimua imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kwenye Kongamana, Wanawake la Kidunia lilofanyika Kitaifa Mlimani City D'Salaam.

Jambo hili likifanyika litatengeneza rekodi ya Dunia kwa Rais wa Tanzania kuwa Kiongozi wa kwanza wa Ngazi ya Juu Duniani Kunyang'anywa Tuzo aliyopewa kwa makosa ya kupuuza Demokrasia, na itakuwa Fedheha kwake binafsi na kwa Chama Chake.

Habari Kamili hii hapa

View attachment 3263998View attachment 3263999


Bali bado haijafahamika jambo hilo litatekelezwa lini na wala mbinu ambayo Chama hicho kitatumia kumnyang'anya Mh Rais Tuzo hiyo
Nawashauri waanzishe na mchakato wa kumzuia asijipachike vyeo asivyostahiki kama udaktari na uungu mtu
 
Taarifa hii kabambe na ya Kusisimua imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kwenye Kongamana, Wanawake la Kidunia lilofanyika Kitaifa Mlimani City D'Salaam.

Jambo hili likifanyika litatengeneza rekodi ya Dunia kwa Rais wa Tanzania kuwa Kiongozi wa kwanza wa Ngazi ya Juu Duniani Kunyang'anywa Tuzo aliyopewa kwa makosa ya kupuuza Demokrasia, na itakuwa Fedheha kwake binafsi na kwa Chama Chake.

Habari Kamili hii hapa

View attachment 3263998View attachment 3263999


Bali bado haijafahamika jambo hilo litatekelezwa lini na wala mbinu ambayo Chama hicho kitatumia kumnyang'anya Mh Rais Tuzo hiyo
Nazidi kujua sababu kwanini nguvu kubwa ilitumika kumblock Lissu asiwe Mwenyekiti wa CDM. Hii Kali🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Duuh, hii kali kwelikweli....

Mimi kauli hii naitazama ktk engo nyingine kabisa....

Ninachokiona ni kuwa, huu uongozi mpya wa CHADEMA utakuwa umeona na kugundua mambo mengi na ya hovyo sana yaliyofanywa na uongozi wa Mwenyekiti aliyepita ndugu Freeman Mbowe na watu wake...

Nakumbuka, kuna wakati Tundu Lissu akihojiwa na chombo fulani cha habari nilimwona na kumsikia akijibu swali kuhusu mambo ya fedha za CHADEMA kwa kusema;

"....hali ya fedha ya chama ni mbaya sana, msiniulize nimeona na kukuta nini...."

Sasa tukiitafakari kauli hiyo☝🏻☝🏻 kuunganisha matukio haya pamoja na dhamira ya kumnyang'anya Samia Tuzo aliyopewa mwaka fulani na kina mama hawahawa wa CHADEMA chini ya Freeman Mbowe, naona wazi kuwa kuna siku tutafunuliwa na kuona uchafu mwingi ulioratibiwa na kufanyika chini ya uongozi wa Freeman Mbowe...

Na haya ndiyo madhara ya kung'ang'ania na kukaa kwenye uongozi wa taasisi ya umma kwa muda mrefu mpaka ufurushwe kwa kelele na marungu...

Na tutaelewa ni kwanini huyu jamaa (Freeman Mbowe) alikosa busara na hekima ya kuachia uongozi wa chama kwa hiari ili kulinda heshima yake pamoja na kupewa ushauri toka kila kona na watu wa heshima. Badala yake kwa kiburi na kashfa kwa waliojitokeza kugombea naye, akachagua njia ya mapambano...

Sasa atavuna alichopanda maana binafsi naona kila dalili kuwa yajayo kwake yatakuwa mengi ya kumshushia hadhi....

Na hiki ndicho kinachoisumbua CCM kukataa kuachia madaraka ya uongozi wa nchi kwa njia za kidemokrasia na kwa hiari badala yake wanaonesha kila dalili kuchagua njia ya mapambano ili walazimishwe kuondoka kwa nguvu....

Hii yote ni kwa sababu viongozi hawa wa CCM na serikali yao wamekaa madarakani kwa muda mrefu sana kiasi cha kudhani na kuamini kuwa nchi hii ni mali yao binafsi na wanaweza kufanya chochote na lolote kwa yeyote na kwa chochote...

Wanajidanganya sana maana watatoweka kama moto wa majani uwakavyo na ghafla huzima...!

Hawa CCM wameifanyia nchi hii na wananchi wa nchi hii kila aina ya uchafu na ujambazi usioelezeka. Wana hofu na woga kwamba, tukitoka sisi wakaingia wengine wasiotujua itakuwaje. Si tutaishia jela..?

Hakika, HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA. Mwisho wao upo, umefika na utawapata vilivyo. Mungu hadhihakiwi, watavuna walichopanda. Wamepanda uharibifu, watavuna matunda ya uharubifu na uovu wao...!!
Umechanganya mambo mengi kwenye andiko lako, Hoja ya uzi huu ni Samia kunyang'anywa Tuzo aliyopewa na Bawacha, kwahiyo unapaswa pia kufahamu kwamba Tuzo ile hakupewa na Mbowe.

Mada zinazohusu hela za Chadema ziko nyingi mno humu jf hakuna haja ya kuzileta tena kwenye uzi huu
 
Umechanganya mambo mengi kwenye andiko lako
Yes, nimesema mengi, lakini yako connected na hoja kuu "Bi Samia Suluhu Hassan kunyang'anywa tuzo". Nisome kwa makini utaelewa...
Hoja ya uzi huu ni Samia kunyang'anywa Tuzo aliyopewa na Bawacha,
Nimo mulemule, sijatoka nje ya mada. Rudia kunisoma tena, utaelewa...
kwahiyo unapaswa pia kufahamu kwamba Tuzo ile hakupewa na Mbowe.
Nisome kwa umakini unielewe...

BAWACHA ni taasisi ndogo ndani ya taasisi kuu iitwayo CHADEMA. Kiongozi mkuu wa CHADEMA alikuwa ni Freeman Mbowe...

Mwenyekiti wenu (CHADEMA) wa sasa ndugu Tundu Lissu mara kadhaa akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akitamka kwa uwazi kabisa kuwa tuzo ile ilitolewa kwa utashi binafsi wa Freeman Mbowe na BAWACHA ilibidi kutii tu "mamlaka ya mwenyekiti" na hawakuwa na la kusema...

Tundu Lissu hudai pia kuwa, maamuzi ya kumpa Rais Samia Suluhu Hassan tuzo hiyo wala hayakuamuliwa wala kujadiliwa na kamati kuuya chama chenu...

Ilikuwa purely utashi binafsi wa mwenyekiti Freeman Mbowe ndio maana hao hao kina mama wa BAWACHA wanataka waondoe utambuzi wa tuzo hiyo....
Mada zinazohusu hela za Chadema ziko nyingi mno humu jf hakuna haja ya kuzileta tena kwenye uzi huu
Una shida gani kwani ndugu Erythrocyte? Ni usichokielewa..?

Mimi sijaanzisha mada ya fedha zenu huko CHADEMA. Kama umeona sentensi kadhaa zkuhusu fedha, it's just "by the way" katika kujenga na kusisitiza hoja fulani kwenye mjadala...
 
Back
Top Bottom