gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Samia ampe msaidizi wake hiyo tuzo awarudishieni,wazee wa matukioMalipo ni Hapa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia ampe msaidizi wake hiyo tuzo awarudishieni,wazee wa matukioMalipo ni Hapa hapa
ushauri mzuriSamia ampe msaidizi wake hiyo tuzo awarudishieni,wazee wa matukio
Ninafikiri CHADEMA watatangaza kutokuitambua hiyo tuzo, wakifanya hivyo ina maana Hangaya atabaki nayo Kama mdoli tu.
NaamNinafikiri CHADEMA watatangaza kutokuitambua hiyo tuzo, wakifanya hivyo ina maana Hangaya atabaki nayo Kama mdoli tu.
We jamaa hiyo tuzo ndio anavuliwa hivyo huyo bi chura kiziwi.Huyo jamaa empty sana kichwani,hafai kuwa kiongozi,anavyoropoka kupitia kinywa ndivyo aropokavyo kifikra
Sasa tuzo ya chadema ina nini!?We jamaa hiyo tuzo ndio anavuliwa hivyo huyo bi chura kiziwi.
Swali lako ni la kipuuziSasa tuzo ya chadema ina nini!?
Mazuzu bwana?Taarifa hii kabambe na ya Kusisimua imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kwenye Kongamana, Wanawake la Kidunia lilofanyika Kitaifa Mlimani City D'Salaam.
Jambo hili likifanyika litatengeneza rekodi ya Dunia kwa Rais wa Tanzania kuwa Kiongozi wa kwanza wa Ngazi ya Juu Duniani Kunyang'anywa Tuzo aliyopewa kwa makosa ya kupuuza Demokrasia, na itakuwa Fedheha kwake binafsi na kwa Chama Chake.
Habari Kamili hii hapa
View attachment 3263998View attachment 3263999
Bali bado haijafahamika jambo hilo litatekelezwa lini na wala mbinu ambayo Chama hicho kitatumia kumnyang'anya Mh Rais Tuzo hiyo
Ni adabu kubwa maana tuzo hiyo inakua valueless na hilo ni muhimu sana kwenye rekodi za chama, taifa na kwake mwenyewe.Unamnyanganyaje mtu uliyempa, labda watengue.
Kwan hy tuzo ina thamani gn kwa raisNi adabu kubwa maana tuzo hiyo inakua valueless na hilo ni muhimu sana kwenye rekodi za chama, taifa na kwake mwenyewe.
Kutokana na mambo mengi makubwa yanatokea na kuonekana ni kawaida kwa akili ndogo hata hili wanaweza kuliona ni dogo lakini ni baya sana na rekodi chafu kwa aliyepokea hapo awali.
Haisaidii, jamaa yangu mmoja Seneti ya chuo kikuu ilimfutia degree yake hakurudisha hivyo vyeti lakini ni valueless hadi leo na moyo wake ulihudhunika mpaka leo hii ingawa anazo degree zingine vyuo tofauti.Samia ampe msaidizi wake hiyo tuzo awarudishieni,wazee wa matukio
Hujui tuu, hiyo tuzo ni ya thamani sana kuliko hizo PhD anazopewa huko Korea mara India nk.Kwan hy tuzo ina thamani gn kwa rais
N marais wangapi hapa Tz au hata duniani wana tuzo kutoka upinzani? Kwahy hao ambao hawana kwahy hawana heshima?Hujui tuu, hiyo tuzo ni ya thamani sana kuliko hizo PhD anazopewa huko Korea mara India nk.
Tuzo hiyo ilikuwa inampa heshima kuwa mwana demokrasia kwa vitendo ambaye Wapinzani wake walimtambua. Hapa kavuliwa John hadharani!
Chadema kweli sasa ina viongozi wa kweli na wanasimamia ukweli bila woga.
Useless tantrums,kuipokea kwenyewe alikua ana-socialise tu,hana time nayoHaisaidii, jamaa yangu mmoja Seneti ya chuo kikuu ilimfutia degree yake hakurudisha hivyo vyeti lakini ni valueless hadi leo na moyo wake ulihudhunika mpaka leo hii ingawa anazo degree zingine vyuo tofauti.