Pre GE2025 CHADEMA yatangaza kumnyang'anya Rais Samia Tuzo aliyopewa na BAWACHA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa hii kabambe na ya Kusisimua imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kwenye Kongamana, Wanawake la Kidunia lilofanyika Kitaifa Mlimani City D'Salaam.

Jambo hili likifanyika litatengeneza rekodi ya Dunia kwa Rais wa Tanzania kuwa Kiongozi wa kwanza wa Ngazi ya Juu Duniani Kunyang'anywa Tuzo aliyopewa kwa makosa ya kupuuza Demokrasia, na itakuwa Fedheha kwake binafsi na kwa Chama Chake.

Habari Kamili hii hapa




Bali bado haijafahamika jambo hilo litatekelezwa lini na wala mbinu ambayo Chama hicho kitatumia kumnyang'anya Mh Rais Tuzo hiyo
 
Anyang'anywe tuzo ya Mwamba, naunga mkono hoja.
 
Sidhan kama atajali.
 
Who cares?
 
Unamnyanganyaje mtu uliyempa, labda watengue.
 
Good movie, najua kumnyang'anya haiwezekani, lakini watangaze hadharani arudishe ile tuzo maana walimpa wakidhani anastahili kumbe hastahili. Na waweke wazi kwanini walimpa na kwanini wanamtaka airudishe.
 
Hawezi

Lunatics on thr one and twoโ€ฆ. DJ chakandumuzโ€ฆ. Mzee wa kulowesha mic

Squirting from the mouth
Huyo jamaa empty sana kichwani,hafai kuwa kiongozi,anavyoropoka kupitia kinywa ndivyo aropokavyo kifikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ