Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kitu pekee ambacho kinaweza kutokea wakishinda rufaa ( japo hilo halipo ) ni kurejeshewa uanachama , si kurejeshewa uongoziWakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
chedema kufa ngumu hata Mbowe akihamaWakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Kwa hiyo kina Mdee wanakuwa ni kina nani!!??Baraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .
Mungu ibariki Chadema
Umemchokanitamwambia shemeji yenu akachukue fomu
Swali lako muulize Ndugai , Mdee na wenzake walishatimuliwa Chadema kitambo tuKwa hiyo kina Mdee wanakuwa ni kina nani!!??
ni wabunge ama wageni wa bunge.....
hiki ni kituko cha karne
Mataga wachukieni hao wabunge wa gereji wawaongoze hapo UWTWakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Tangu lini maiti ikafachedema kufa ngumu hata Mbowe akihama
Bawacha bado ipo?Baraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .
Mungu ibariki Chadema
Bawacha bila wabunge ni bure!Mataga wachukieni hao wabunge wa gereji wawaongoze hapo UWT
Mataga tangu lini mmekua watetezi wa bawacha??Bawacha bila wabunge ni bure!
Unataka iwe mboga ya watu.ndugu mke umemchoka.nitamwambia shemeji yenu akachukue fomu
Kwa sababu wanaingiza ruzuku!Mataga tangu lini mmekua watetezi wa bawacha??
Sasa CDM ikifa so ndio furaha yenu nyie CCM unawasiwasi gani,kama hao wamama ni vichwa endeleeni kuwatumia,huku nafasi zinajazwaWakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
ruzuku za vyama zinaletwa na wabunge wa viti maalum ! kwahiyo kumbe mara zote humu tunabishana mtu ambaye kichwa chake ni kifuu ?Kwa sababu wanaingiza ruzuku!