Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Unatia aibu wanaokulipa kwa gharama ya kijinga sana !Tangu lini maiti ikafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatia aibu wanaokulipa kwa gharama ya kijinga sana !Tangu lini maiti ikafa
Hahahaaaa....... Hao ndio walipata kura nyingi walipogombea majimboni ndio maana Katibu mkuu Mnyika akawateua kuwa wabunge na kumpelekea majina Mahera!ruzuku za vyama zinaletwa na wabunge wa viti maalum ! kwahiyo kumbe mara zote humu tunabishana mtu ambaye kichwa chake ni kifuu ?
Hivi kwanini msimuambie Magufuli awape na kadi za ccm kabisa?Ni uminyaji wa demokrasia ndani ya Chadema.
Bila kusikilza rufaa unakwendaje atua moja mbele.
Wakishinda rufaa watabaki wanachama wa kawaida, hapo kinachojazwa ni nafasi zao za kiutawala ndani ya chama. Jitahidi unapojenga hoja ufahamu na utofauti wake.Wakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
😆😆😆Uchaguzi ufanyike kujaza hizo nafasi haraka yasije yakatokea yale ya Lipumba na RIP Seif walipokuwa CUF.
Kichwa kwako ni sanduku la kuhifadhia meno tu!Kwa sababu wanaingiza ruzuku!
Hata wakihama wote chadema nitabakia mimi tuchedema kufa ngumu hata Mbowe akihama
Wakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Kumbe Maneni yenu ya Uchafuzi bado mnavuta pesa za kuishi Dubai. Haah wajinga waliwao.ruzuku za vyama zinaletwa na wabunge wa viti maalum ! kwahiyo kumbe mara zote humu tunabishana mtu ambaye kichwa chake ni kifuu ?
una maana gani ?Kumbe Maneni yenu ya Uchafuzi bado mnavuta pesa za kuishi Dubai. Haah wajinga waliwao.
GM.
Rufaa zao sio gurantee za nafasi zao katika chama bali ni kulinda uachama wao katika chama.Ni uminyaji wa demokrasia ndani ya Chadema.
Bila kusikilza rufaa unakwendaje atua moja mbele.