CHADEMA yatangaza uchaguzi wa kujaza nafasi za waliotimuliwa Bawacha

Asante kwa taarifa Ngoja niwahimize wana CCM walioko Chadema wachukue fomu upesi kugombea uongozi BAWACHA kuanzia uenyekiti hadi chini
 
Cdm hatujawahi kukosea kwa bahati mbaya au makusudi.
Kamwe hatuwezi kukubali kuishi na covid ndani ya chama wakati tunajua ni nyoka wenye sumu kali.
 
Wakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Labda vichwa vya treni mlizo okota bandarini
 
kitu pekee ambacho kinaweza kutokea wakishinda rufaa ( japo hilo halipo ) ni kurejeshewa uanachama , si kurejeshewa uongozi
Na hawawezi kushinda kamwe maana hata watumie mamluki hawawezi tuuu wana cdm hatupo tayari kuwapokea wasaliti
 
..hawatorudishiwa nyadhifa kwasababu nafasi zao zilijazwa wakati chama kikiwa hakiwatambui kuwa ni wanachama.
Sio kweli maamuzi ya mkutano mkuu hayajafanyika bado wanachama halali na watambwaga Mbowe na kamati kuu yake mapema tu


Sema Mbowe anafanya kusudi kuvuruga mchakato sababu keshavuta pesa ya kila mwezi kutoka kwa hao wabunge anataka tu kuzusha mgogoro wa kisheria sababu wale wamekata rufaa kikatiba.Kikao cha kikatiba waluchokata rufaa hakijaketi kuamua yeye ansitisha uchaguzi mmmmm ni fix tupu hapo
 
Wakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Wamekata rufaa wapi?
Wameiwasilisha lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…