CHADEMA yatangaza uchaguzi wa kujaza nafasi za waliotimuliwa Bawacha

Unacho kiweza ni kuuza visheti tu
 
Hivi mtu anasemaje eti walio saliti chama

Chadema hii ya kisanii? Yamkini kabisa kabisa wasaliti ni walio baki,ni vile tu waTanzania wengi ni vipofu
 
Mdee kwisha habari yake dadadeq. Sasa kwenye CCM hatakubalika na huko CDM kashaharibu...

CV ya mwanasiasa ( mtaji) daima huwa ni msimamo wake usioyumba - huyu mwanadada pamoja na wenzake washapoteza kete hii adimu.

Namuona sasa akitangatanga..safari yake ya kubakia CCM ama kwenda ACT inanukia kama siyo NCCR. ..

Kacheza karata zake vibaya mno - pole yake!!

BAWACHA wacmsheni indicators ombeni njia kitu kiingie njia kuu...hakuna kulala...!!
 
Safii sana
 
Kisheria wakirudisiwa unachama, basi wanakuwa wamerudishiwa na haki zao zote walizokuwa nazo kabla ya kuvuliwa uanachama, ikiwa ni pamoja na nafasi za uongozi walizokuwa nazo wakati huo. Subira huko BAWACHA ilihitajika.
Sio lazima. Baraza linaweza kuamua kuwasamehe bila kuwarudishia nyadhfa zao. Itakuwa unavyosema kama Baraza litaona kuwa hawakutendewa haki na Kamati Kuu na kutamka kuwa kufukuzwa kwao na adhabu nyingine walizopewa zilikuwa batili. Sidhani kama hili litatokea. Likitokea Kamati Kuu itabidi ijiuzuru. Kinachohitajika ni unyenyekevu kutoka waliokuwa wanachama wa CHADEMA na kukubali hukumu yeyote itakayotolewa dhidi yao. Ukimya wao hadi sasa unaelekea huko.

Amandla...
 
Habari ya uanachama wa Chadema kwa hawa wakina mama imekwisha na imefungwa , makosa waliyoyatenda ndani ya Chadema adhabu yake iko ndani ya katiba , hakuna namna yoyote ile ya hawa kurudi Chadema kupitia rufaa.

Never Ever !
 
Fyekelea mbali hao COVID-19!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…