Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Tutaandamana na vitambaa vyeusi mkononi , na tumeanzisha uchunguzi kujua kama ajali ile ililenga kuvuruga maandamano au ni ajali ya kweli , majibu tutaleta hapa hapa jfMko msibani
R .I. P waliofariki katika ajali hiyo mbaya ....Chadema Tanzania , kimekuwa Chama cha kwanza cha Kisiasa nchini Tanzania kutoa salamu za Rambirambi kwa waliopata ajali huko Ngaramtoni , Arusha .
Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba Watu 25 wamefariki , huku kukiwa na majeruhi kadhaa
View attachment 2915872
kwenye siasa za hawa waandamanaji misiba na majonzi ya wengine sio muhimu kwao πTetesi za kusogeza mbele tukio lenu ni za kweli?
Vyama vya siasa nchi hii viko vingi mno ! we endelea kuwaza ccm tuHua mnashindana na ccm nani awe wa kwanza kutuma salamu za pole za msiba? Ndio mnataka kuchukua nchi kwa siasa hizi za majitaka
Ila ww jamaa bhana ππ dahChadema Tanzania , kimekuwa Chama cha kwanza cha Kisiasa nchini Tanzania kutoa salamu za Rambirambi kwa waliopata ajali huko Ngaramtoni , Arusha .
F*k u bitchTutaandamana na vitambaa vyeusi mkononi , na tumeanzisha uchunguzi kujua kama ajali ile ililenga kuvuruga maandamano au ni ajali ya kweli