Kwenye biblia na Quran hkuna mtu anaitwa nabii Shilla labda Ni nabii wa chama saccosCHADEMA NI MPANGO WA MUNGU HADI NABII SHILLA AMELITHIBITISHA HILO[emoji3577][emoji3577]SWALA.
Hakika Sugu ameiva !MHE: SUGU CCM HAWANA MGOMBEA UBUNGE MBEYA MJINI.
Aisee. Nilifikiri Chadema ilishakufa. Aisee Watanzania ni kiboko.
Sanks SuguAJENDA 2020 na Joseph Mbilinyi
Acha utani MUNGU yupi huyo mwenye mipango na wahuni wa chadema
✌daimaSitaki kuleta porojo , muda wa maneno matupu umekwisha , kwa sasa ni vitendo , ushahidi huu hapa
View attachment 1498578
Roho inakuuma. Huo ndio ukweli na bado utaumwa tu.Nonsense!!
Asepe tu hana faida yoyote kwenye jamiiKuna taarifa kwamba baada ya kupima mambo yule dada anawaza kukimbia jimbo
NAHAU..Sasa huo moto uko wapi hapo kamanda? Naona kamanda Sugu aka rais wa Mbeya anahutubia mkutano na sijaona moto po pote pale [emoji16][emoji16][emoji16]
BETINA lazima akimbie..Kuna taarifa kwamba baada ya kupima mambo yule dada anawaza kukimbia jimbo