Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ikumbukwe kwamba hili eneo ni moja kati ya ngome imara mno ya Chadema kanda ya ziwa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuotaChadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa Mwanza
Kwa haki au dhuluma?Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
Tumbueni ruzuku mwisho mwisho
Hilo ni vuvuzela tu linaelekezwa nini cha kupost na chakubangaHii msg huwa una copy na ku paste? Naiona kwenye kila thread! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tumbueni ruzuku mwisho mwisho
Mabadiliko ya upepo wa CCM kuvuma kwa upande wao maeneo yetu ya Same na Mwanga , kama hali hiyo ndio ipo pande zingine za Tanzania , nakwambia MKAZE SANA MSAMBA. Na hii ikuhusu sana ndugu yangu Erythrocyte na Chadema yote.endelea kuota
[emoji28][emoji28][emoji28] kweli mkuu. Hio msg nimeikuta kwenye thread kama nne hivi za kisiasa muda sio mrefuHilo ni vuvuzela tu linaelekezwa nini cha kupost na chakubanga
Kwa sababu ya ukabila kule.Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
Kana mmepewa kibali fanyeni tu,,hamna tabu😉😉Polisi sijui imekuwaje wameruhusu labda ni kutokana na mkwara wa mabeberu.
Sisiem B wanaobeba bunduki walikuwa wapi mpaka CDM ikakusanyika kufanya kikao Cha ndani namna hi?View attachment 1490367
Ikumbukwe kwamba hili eneo ni moja kati ya ngome imara mno ya Chadema kanda ya ziwa .
mkuu kweli moto umewaka naona watu "nyomi" tena kanisaniView attachment 1490367
Ikumbukwe kwamba hili eneo ni moja kati ya ngome imara mno ya Chadema kanda ya ziwa .
Kama anavyotumbua babako polepole Lumumba huku wewe na ujinga wako maisha yamekupiga umebaki kushabikia ujingaTumbueni ruzuku mwisho mwisho
Kama anavyotumbua babako polepole Lumumba huku wewe na ujinga wako maisha yamekupiga umebaki kushabikia ujinga
Usiiongelee wilaya yenye Maprofesa zaidi ya 20 na madr wasiohesabika. Huwajui wakerewe kaa pembeni, hili ni kabila linalojitambua.Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
Karibu sanamkuu kweli moto umewaka naona watu "nyomi" tena kanisani