Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
AmenLakini rekodi na hansad za dunia zitaona na kuthibitisha ninani wanaokiuka sheria na utaratibu tuliojiwekea? Hii itasaidia siku MOJA panapo majaliwa ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenLakini rekodi na hansad za dunia zitaona na kuthibitisha ninani wanaokiuka sheria na utaratibu tuliojiwekea? Hii itasaidia siku MOJA panapo majaliwa ....
Kama macho huna basi hata kupapasa huwezi ?Hiyo barua kabambe ikoje 😅 😅 !
Na wakifukuzwa Bungeni? Wakauze K walipe fedha za watu.Mishahara wamekopea
Samahani situmii kupapasa huwa nalenga tu!Kama macho huna basi hata kupapasa huwezi ?
Hayo hayanihusu mkuuNa wakifukuzwa Bungeni? Wakauze K walipe fedha za watu.
Chadema Kuna wajinga acha kabisa.Hakuna mtu aweza ingia bungeni bila NEC kumwandikia spika😀😀
Mbona mna haraka
NEC Ndio itamwandikia Spika siyo nyie
They are fighting the losing battle!Kama walivyoahidi jana kwenye Mkutano wao na Waandishi wa habari , leo wamekamilisha .
View attachment 2846088View attachment 2846090
Hivi mbona ndugu zangu mna shadidia ujinga? Shule hazina madawati, hospitali hazina dawa, watumishi hana mishahara.... Mna furahia wati 19 haramu kulipwa mabilioni ya wizi? Huu ni uhujumu uchumi.. Tuache ushabiki kwenye mambo serious..[emoji3][emoji3]
Mbona mna haraka
NEC Ndio itamwandikia Spika siyo nyie
CCM kuna mapooza tupu.Chadema Kuna wajinga acha kabisa.Hakuna mtu aweza ingia bungeni bila NEC kumwandikia spika
manaume ya Chadema yanaomba yavae siketi yawe viti maalumu yateuliwe ubunge kikundi cha watu masikini kinapogeuka kuwa wavaa siketiKama walivyoahidi jana kwenye Mkutano wao na Waandishi wa habari , leo wamekamilisha .
View attachment 2846088View attachment 2846090
Hata wakiwatoa hao akina Mdee wataingia wengine 19 kutokea hapo Hapo Ufipa stHivi mbona ndugu zangu mna shadidia ujinga? Shule hazina madawati, hospitali hazina dawa, watumishi hana mishahara.... Mna furahia wati 19 haramu kulipwa mabilioni ya wizi? Huu ni uhujumu uchumi.. Tuache ushabiki kwenye mambo serious..
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa FAmen
Jf isiruhusu vichaa kujiunga humuVilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
Ndio maana Tanzania imo kwenye kundi la nchi zijulikanazo kama BANANA REPUBLICS! Sifa moja ya nchi hizo ni kwamba muhimili wake wa Bunge hauheshimu sheria ambazo Bunge hilo imezitunga!Hakuna jipya hapo ndugu,Bunge watadharau na hakuna cha kuwafanya,full stop
Mbwiga ni wewe.Hata wakiwatoa hao akina Mdee wataingia wengine 19 kutokea hapo Hapo Ufipa st
Gharama iko pale pale usiwe mbwiga
Kabisa, kama baadhi ya wabunge walijitoa kwenye chama chao kipindi Cha dhalimu, na Bado wakaitwa bungeni, kuna lolote jipya la kutegemea hapo?Hakuna kitu kitafanyika
Ingekuwa haramu Mnyika angeshtaki sahihi yake kufojiwa!Mbwiga ni wewe.
Tuna hitaji justice
Tuki ruhusu haramu leo, ita zoeleka kuonekana ni sawa kwa vile jana tumi ruhusu.
Tuwe na uchungu na nchi yetu jamani
Na ruzuku ya chama itakuwaje? Chama kimejiandaaje kukabiliana na ukata wakati tunaelekea kwenye chaguzi 24/25?Naongelea mishahara yao iliyobakia hadi mhula huu utakapoisha.
Unashitaki wapi ?Ingekuwa haramu Mnyika angeshtaki sahihi yake kufojiwa!
Bavicha mko kizombizombi sana
Jaji keshasema Kamati Kuu ilikuwa sahihi, sasa ni kusubiri tu maamuzi ya Tume maana Wana orodha ya Zaidi ya Bawacha 56 waliopendekezwa 2020🤣
Kwani sasa barua kaandika ya nini?Unashitaki wapi ?