Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
Zaidi angalia hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249
Wote tulioguzwa tutoe, kutoa sadaka hakuna ubaya wowote.Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
NimoUnaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249
Tuna akili, hatukatishwi tamaa, tutatoa viongozi wa chama pamoja na Mwenyekiti Lissu apate fedha kwa ajili ya kutembea nchi nzima kueleza wizi na ufisadi uliofanywa na Serikali ya ccm na Samia.BAKULI LA LAZIMA HILO WAJINGA NDIYO WALIWAO
Vyama vyote Duniani, hutegemea Pesa za Wanachama wake kujiendesha.Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
Mbowe tulimchangia kwa Join the chainHaya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
Sasa Mbowe si alikifanya chama kuwa duka la familia?Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
NIMO💪🏿📌🔨Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249
Tuko tayari kutoa sadaka,Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
safi sanaMapema sanaa
Una wivu km mchawi!Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
Chama gani hakinaPesa. Au ingekuwa hakina Pesa angeng'ania madaraka yanini, ulisha wahi kuambiwa fedha walizokuwa wanakatwa wabungge zaidi bilioni tatu zilienda wapi, ulishaambiwa kiasi cha ruzuku kiasi cha milioni 350 kila mwezi kipindi wanawabunge mia zilitumikaje. Mbowe chama kimemtajirisha nakwambia subiri tuone sasa kama atatoa tena hayo mamilioni au kukikopesha chama. Alikuwa anamcheka Lisu kwamba anashindwa kuchangia Miliini 30, kwa sasa hata milioni tano Hatachanga.Yeye fedha za wafadhili alikuwa anajidai anakikopesha chama na kujifanya nyingine anachangia Chama. Amejilipa mabilioni ya madeni hewa. Tuone sasa akiwa nje ya uongozi kama atatoa fedha yoyote. Kikubwa amesaidia kukijenga na kukiimarisha chama kwa mikakati yake kadiri alivyoweza hili Mbowe hatasahaulika abadani CDMHaya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
ni njia mpya ya utapeli na kuomba mchango ya pesa sio?Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249

Nahisi umetumia lugha nyepesi sanam ungemwambia tu hastahili hata kujiita mti mwenye PhDVyama vyote Duniani, hutegemea Pesa za Wanachama wake kujiendesha.
Hiyo PhD yako ni ya kiyahaya.