Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WATAWAPATA WAJINGA, MIMI SIMO. HAWAFAI HAWA, WAHUNI WALICHOMTENDEA MWENZAO SI WA KUAMBATANA NAO...KESHO NA WEWE WATAKUFANYIA HIVYO..WATAKUSINGIZIA WIZI, MKATE NA NUSU., KUUZA CHAMA KWA SAMIA/CCM NA UCHAFU WOTE UNAOWEZA KUFIKIRI.Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
Si kweli huu ni uongo..rubbishzaidi bilioni tatu zilienda wapi, ulishaambiwa kiasi cha ruzuku kiasi cha milioni 350 kila mwezi
Ukishatuma meseji wanakata makato ya kila wiki au wanasubiri mwezi upinduke?Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249
Na ndio lengo lao mtu ajiunge wampigeUkijiunga tuu unapigwa mzinga wa michango sawa na yule Mchungaji wa Channel ten ukituma messeji anakupiga mzinga wa sadaka 😁
WATAWAPATA WAJINGA, MIMI SIMO. HAWAFAI HAWA, WAHUNI WALICHOMTENDEA MWENZAO SI WA KUAMBATANA NAO...KESHO NA WEWE WATAKUFANYIA HIVYO..WATAKUSINGIZIA WIZI, MKATE NA NUSU., KUUZA CHAMA KWA SAMIA/CCM NA UCHAFU WOTE UNAOWEZA KUFIKIRI.
View: https://www.youtube.com/watch?v=FniVldLPDZc
Uongozi mpya ulipaswa kuweka Maridhiano badala ya kunyamaza tu as if hakukuwa na jambo, huyu mlalamikaji anayo hoja, japo hakupaswa kugomea michango kwa vile Lissu na wengine watapita lakini Chadema itabakiHaaaa...kweli ushindi wa Lissu imekuuma zaidi ya Mh. Mbowe kusingiziwa na state organs kuwa ni GAIDI.
Msamee basi kama uliudhika kwa kushindwa japo walishindana.
Eeh, Lukas Mwashambwa UMO?!, tlaahtlaah UMO?!Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249
Wacha tuliwe tutaelevuka tuu!BAKULI LA LAZIMA HILO WAJINGA NDIYO WALIWAO
Ukitaka kujua PhD fake mtembelee Dr Matola PhD !Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
WAMO!Sipingi kwamba wanaweza kuiingia humo ila haya si majukumu yao, hata hivyo Chadema inawahitaji hata wao wajiunge ili tuunganishe nguvu pamoja maana nao ni watanzania
UMO! tayari umeunganishwa.kutapeli wananchi maskini ni ushirikina![]()
sio mara mbili Lakini gentleman 🐒UMO! tayari umeunganishwa.
Mara Moja tuu Mkuu!sio mara mbili Lakini gentleman 🐒
kupitia ruzuku inatosha, nje ya hapo ni utapeli tu🐒Mara Moja tuu Mkuu!
Kwa hiyo wewe ndio utuambie huyo Mmeo Mboo-we alikuwa anapata wapi pesa za kuendeshea CHADEMA ?Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.