Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Si kweliKuwaunganisha wanachama wawe kitu kimoja baada ya uchaguzi hamuwezi, mnaweza kuwunganisha kwenye hela tu. Chama kimekosa maono, kimejikita kwenye maokoto tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweliKuwaunganisha wanachama wawe kitu kimoja baada ya uchaguzi hamuwezi, mnaweza kuwunganisha kwenye hela tu. Chama kimekosa maono, kimejikita kwenye maokoto tu.
Sasa msomi mzima unashangaa chama cha siasa ambacho ni not for profit, kujitafutia mianya ya kutafuta pesa za kujiendesha. Usomi wako ni wa kingumbaruHaya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
kutapeli wananchi maskini ni ushirikinaHeri wanaoomba michango kuliko wanaokwapua kodi za wananchi

Utapeli tu business namba zikiwa na namba kumi ni business namba binafsi mfanyabiashara binafsiUmekariri
Kaa kwa kutulia. Mbowe hajawahi kutoa hela yake mfukni kuiendeleza Chadema. Mbowe alikuwa anafanya mambo kwa msimu. Sasa hivi hili goma ni non stopHaya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
Kwani ccm mshaunganishwa tangu mpigwe tukio la form moja kule dodoma?Kuwaunganisha wanachama wawe kitu kimoja baada ya uchaguzi hamuwezi, mnaweza kuwunganisha kwenye hela tu. Chama kimekosa maono, kimejikita kwenye maokoto tu.
Unaambiwa hata hiyo fomu 1 haikutoka, limetolewa tamko tuKwani ccm mshaunganishwa tangu mpigwe tukio la form moja kule dodoma?
CCM tumeunganishwa kupitia mtawi, chadomo mnaunganishwa kupitia maokoto wajanja wa ikungi wapige.Kwani ccm mshaunganishwa tangu mpigwe tukio la form moja kule dodoma?
Sawa ni heri wajinga wazalendo..BAKULI LA LAZIMA HILO WAJINGA NDIYO WALIWAO
Baadae muanze kutuibia fedhaUnaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249
Matawi mmekuwa miti nyie?CCM tumeunganishwa kupitia mtawi, chadomo mnaunganishwa kupitia maokoto wajanja wa ikungi wapige.
Chawa wa mama kaziniUtapeli tu business namba zikiwa na namba kumi ni business namba binafsi mfanyabiashara binafsi
Bussiness namba za taasisi yeyote huwa na namba tano tu jumla
Customer beware utakayechangia hiyo namba yenye digit namba 10
Kuchangia vitu vya jumuiya kuna M koba vodacom nk epuka kuchangia popote taasisi namba ikiwa na digit 10 digit number zinatakiwa kuwa tano tu na zinaanzia 15 nje ya hapo ukipigwa usije kupiga yowe humu
NIMO 🤣Unaandika tu neno "NIMO" na kuituma kwenye namba zao, Tayari unakuwa ushaunganishwa nao.
Zaidi angalia hapa
View attachment 3239248View attachment 3239249
Vyama vyote duniani huruhusu michango katika kugharamia matumizi ya chama , ili chama kiwepo lazima kiwe na wanachama na wanachama ndio huendesha chama.Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
These are the thoughts indicted with ignorance of high degrees....!Haya ni maandalizi ya kukusanya sadaka.
Soon mtashangaa Mbowe aliwezaje kuongoza Chama kisichokuwa na pesa.
Asante sanaNIMO
#StrongerTogether
NIMONIMO💪🏿📌🔨